1. KANUNI ZA
MAISHA YA USHINDI
UCHUMI NA MAENDELEO
UCHUMI NA MAENDELEO
Kuujenga Ufalme wa Mungu
Mwl. Mgisa Mtebe
+255 (0)713 497 654
mgisamtebe@yahoo.com
mgisamtebe@yahoo com
www.mgisamtebe.org
3. KANUNI ZA KIROHO
Ni mapenzi ya Mungu tuishi
maisha ya ushindi na
mafanikio ili kutimiza kusudi
ili kutimiza kusudi
la Mungu na kuishi maisha
la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum
cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.
4. KANUNI ZA KIROHO
Tunaishi katika dunia yenye
mifumo ya kila aina ya upinzani
ya kila aina ya upinzani
kwa mtu wa Mungu; hivyo
g ; y
Nguvu za Mungu ni kitu cha
lazima katika maisha ya mtu wa
Mungu, ili kumwezesha kuishi
Mungu ili kumwezesha kuishi
maisha ya ushindi na mafanikio
y
katika dunia kama hii.
5. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
2Petro 1:3‐4
3 Kwa
3 Kwa kuwa Uweza wake wa
uungu umetupatia (au nguvu
zake za uungu zimetupatia)
k )
mambo yote
mambo yote tunayohitaji kwa
ajili ya maisha na utakatifu, kwa
kumjua Yeye aliyetuita kwa
utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
6. KUTEMBEA KWA IMANI
2Petro 1:3‐4
4 Kwa sababu hi
b b hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu na
za thamani, ili kwa kupitia hizo
tupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa na
g ,
uharibifu (au upotovu) ulioko
duniani kwa sababu ya tamaa
tamaa.
7. KANUNI ZA KIROHO
Katikati ya upinzani ambao
watu wa Mungu tunaupitia
duniani, Mungu ana njia na
duniani Mungu ana njia na
kanuni za kutuwezesha kuishi
za kutuwezesha kuishi
maisha ya ushindi, bila
kujichafua utakatifu wetu
katika mifumo hii ya uovu.
k ik if hii
8. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
1Yohana 5:4
‘Kila kitu kilichozaliwa na
Mungu, huushinda ulimwengu;
Na huku ndiko kushinda
h k dik k hi d
kuushindako ulimwengu,
kuushindako ulimwengu
ni hiyo
ni hiyo IMANI yetu’
yetu
9. KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37
‘Na katika mambo yote,
tunashinda na zaidi ya kushinda
na zaidi ya kushinda
kupitia Kristo Yesu aliyetupenda
kupitia Kristo Yesu aliyetupenda’
(katika yote, sisi ni washindi na
(katika yote, sisi ni washindi na
zaidi ya washindi, kupitia Yesu
Kristo aliyetupenda)
10. KANUNI ZA KIROHO
3Yohana 1:2
‘Mpenzi, kama vile
unavyofanikiwa katika roho
f iki k tik h
yako (katika mambo yako ya
yako (katika mambo yako ya
) p
kiroho), ninaomba pia ufanikiwe
katika mambo yako yote
(ya kimwili)’
11. KANUNI ZA KIROHO
Ni mapenzi ya Mungu tuishi
maisha ya ushindi na
mafanikio ili kutimiza kusudi
ili kutimiza kusudi
la Mungu na kuishi maisha
la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum
cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.
13. KWANINI MAFANIKIO?
1.
Kwa ajili ya Ibada.
j y
(
(Kanisa la Mtu Binafsi)
)
Wakolosai 1:16
Wakolosai 1:16
14. KWANINI MAFANIKIO?
Mungu anataka watoto wake,
tuwe na maisha mazuri, ili
tunapopeleka ibada kwa
tunapopeleka ibada kwa
Mungu, ibada hiyo ifike kwa
Mungu, ibada hiyo ifike kwa
Mungu ikiwa safi (fresh), yaani
ibada isiyo na kelele za moyoni
(masumbufu na uchungu).
( b f h )
15. SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3
Wewe U Mtakatifu nawe
U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
j y
“Inhabit” “Unaishi”
Inhabit Unaishi
16. SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3
IDABA ndio kitu cha kwanza
cha kwanza
kabisa katika moyo wa
y
Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA
IBADA na SIFA.
18. SIFA NA IBADA KWA MUNGU
“Umestahili wewe, Bwana
Mungu wetu, kuupokea
M k k
utukufu na heshima na uweza;
utukufu na heshima na uweza;
kwakuwa wewe ndiye
uliviumba vitu vyote na kwa
mapenzi yako vilkuwako, navyo
i k ilk k
vikaumbwa. (Ufunuo 5:23)
vikaumbwa ” (Ufunuo 5:23)
19. SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu anataka sana kuabudiwa
Mungu anataka sana kuabudiwa
“Kwa maana Baba anawatafuta
Kwa maana, Baba anawatafuta
watu wa aina hiyo ili
watu wa aina hiyo ili
wamwabudu.”
(Yohana 4: 23)
21. SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu anatamani sana kukaa na
sisi watoto wake h
ii k hapa d i i
duniani,
ndio maana anataka dunia yote
ijazwe hali ya ibada (atmosphere)
kama ilivyo mbinguni (masaa 24),
ili duniani pia kuwe na ma ingira
pia, kuwe mazingira
ya maisha ya makazi ya Mungu
ya maisha au ya makazi ya Mungu
kama ilivyo mbinguni.
22. SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Ndio maana Mungu alitumia
muda mrefu zaidi kuumba Dunia
kuliko muda aliotumia
kumuumba binadamu
mwenyewe.
Dunia = siku 5
Adam = siku 1
25. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo
nzuri hutoka katika moyo
uliotulia na pia maisha mazuri;
na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.
sana na mazingira mazuri
Kumbukumbu 8:6‐18
Kumbukumbu 8:6‐18
26. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha
a g a ya bu a, a s a
yanatibuka, na maisha yakitibuka,
ibada k
b d kwa Mungu pia, inatibuka.
b k
Hivyo, Shetani anachotafuta ni
Hivyo Shetani anachotafuta ni
kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada,
anayoitamani sana kutoka duniani.
anayoitamani sana kutoka duniani
27. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mungu apate ibada nzuri
Ili Mungu apate ibada nzuri
kutoka kwetu, inamlazimu
kutubariki na kututengenezea
mazingira mazuri, ili tuweze
mazingira mazuri ili tuweze
kuwa na maisha mazuri ya
kuwa na maisha mazuri ya
kumtumikia yeye kama vyombo
vizuri vya ibada.
29. KWANINI MAFANIKIO?
2.
Kwa ajili ya Injili.
j y j
(
(Kanisa la Pamoja)
j )
Warumi 10:16
Warumi 10:16
30. KWANINI MAFANIKIO?
Hagai 1:1‐11
Tunatakiwa kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ili tuweze
ushindi na mafanikio ili tuweze
kutegemeza huduma za Injili na
g j
Neno la Mungu, kwa dunia
inayoangamia kimwili na kiroho.
Malaki 3:7‐12
M l ki 3 7 12
32. KWANINI MAFANIKIO?
Wakolosai 1:16
Rasilimali zote zilizowekwa na
Mungu duniani, zinatakiwa
Mungu duniani zinatakiwa
zitumike kwanza, kwa ajili ya
, j y
kuujenga Ufalme wa Mungu
duniani.
Mathayo 6:32‐33
M th 6 32 33
34. KWANINI MAFANIKIO?
Hagai 1:1‐11
Kazi yoyote ya Kanisa, inayolenga
injili, ikichechemea kwa namna
injili ikichechemea kwa namna
y y ,
yoyote, mimi na wewe hatuwezi
kubarikiwa wala kufanikiwa
katika maisha yetu ya kila siku.
Malaki 3:7‐12
M l ki 3 7 12
35. KWANINI MAFANIKIO?
Hagai 1:1‐11
Tunatakiwa kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ili tuweze
ushindi na mafanikio ili tuweze
kutegemeza huduma za Injili na
g j
Neno la Mungu, kwa dunia
inayoangamia kimwili na kiroho.
Malaki 3:7‐12
M l ki 3 7 12
36. KWANINI MAFANIKIO?
3.
Kuithamanisha Kazi ya
y
Yesu Msalabani.
2Wakorintho 8:9
2Wakorintho 8:9
37. KWANINI MAFANIKIO?
2Wakorintho 8:9
Tunatakiwa kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ili tuweze
ushindi na mafanikio ili tuweze
kutegemeza huduma za Injili na
g j
Neno la Mungu, kwa dunia
inayoangamia kimwili na kiroho.
Yohana 6:1‐15
Y h 6 1 15
38. KWANINI MAFANIKIO?
2Wakorintho 8:9
Tunatakiwa kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ili tuweze
ushindi na mafanikio ili tuweze
kutegemeza huduma za Injili na
g j
Neno la Mungu, kwa dunia
inayoangamia kimwili na kiroho.
Malaki 3:10‐12
M l ki 3 10 12
39. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 8:9
2Wakorintho 8:9
‘Yesu alifanyika maskini kwa
Yesu alifanyika maskini kwa
ajili yetu (ingawa yeye ni
ajili yetu (ingawa yeye ni
tajiri), ili sisi tupate kuwa
j ), p
matajiri kwa umaskini wake’
40. SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Yesu alikufa akiwa amevaa
maisha ya kimaskini, ili sisi
waumini wake turithi maisha ya
ushindi, mafanikio na utajiri
ushindi mafanikio na utajiri
kwa malengo ya kuitegemeza
g y g
kazi ya Mungu duniani (ibada
na injili).
41. KWANINI MAFANIKIO?
2Wakorintho 8:9
Tunatakiwa kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ili tuweze
ushindi na mafanikio ili tuweze
kutegemeza huduma za Injili na
g j
Neno la Mungu, kwa dunia
inayoangamia kimwili na kiroho.
Yohana 6:1‐15
Y h 6 1 15
42. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 13
11 Mtatajirishwa kwa kila namna
ili mpate kuwa wakarimu kila
ili mpate kuwa wakarimu kila
wakati, ambako kwa kupitia
, p
kwetu, ukarimu wenu
utamletea Mungu shukrani.
44. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Luka 6:38
38 Wapeni watu vitu, nanyi
mtapewa. Kipimo cha kujaa na
mtapewa Kipimo cha kujaa na
kushindiliwa na kusukwasukwa
hata kumwagika, ndicho watu
watakachowapa vifuani
mwenu, kwakuwa…
mwenu kwakuwa
45. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Luka 6:38
38 … Kipimo kile kile mpimacho,
Ki i kil kil i h
ndicho mtakachopimiwa.
ndicho mtakachopimiwa ”
46. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Waefeso 4:28
Waefeso 4:28
Kila mwizi na aache kuiba;
Kila mwizi na aache kuiba;
asiibe tena; bali afanye kazi,
; y ,
ili apate kitu cha kumgawia
mhitaji (maskini).
49. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 13
12 Huduma hii mnayofanya si tu
kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya
kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya
watakatifu, bali huzidi sana kwa
,
shukrani nyingi apewazo
Mungu.
50. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 13
13Kwa sababu ya huduma
ambayo mmejithibitisha
ambayo mmejithibitisha
wenyewe, watu watamtukuza
y ,
Mungu kwa ajili ya utii
ufuatanao na ukiri wenu wa
Injili ya Kristo …
Injili ya Kristo
51. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
34“Ndipo Mfalme atawaambia
wale walioko upande wake wa
wale walioko upande wake wa
kuume, ‘Njoni, ninyi
j
mliobarikiwa na Baba yangu,
urithini Ufalme ulioandaliwa
ithi i Uf l li d li
kwa ajili yenu tangu kuumbwa
kwa ajili yenu tangu kuumbwa
kwa ulimwengu.
52. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
35 Kwa maana nilikuwa na njaa
mkanipa chakula, nilikuwa na
mkanipa chakula nilikuwa na
kiu mkaninywesha, nilikuwa
y ,
mgeni mkanikaribisha,
53. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
36 nilikuwa uchi mkanivika,
nilikuwa mgonjwa mkanitunza,
nilikuwa mgonjwa mkanitunza
nami nilikuwa kifungoni mkaja
g j
kunitembelea.’
54. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
37 “Ndipo wale wenye haki
watakapomjibu wakisema,
watakapomjibu wakisema
‘Bwana, ni lini tulikuona una
,
njaa tukakulisha au ukiwa na
kiu tukakunywesha?
55. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
38 Lini tulikuona ukiwa mgeni
tukakukaribisha au ukiwa uchi
tukakukaribisha au ukiwa uchi
tukakuvika? 39 Tena ni lini
tulikuona ukiwa mgonjwa
tukakutunza au ukiwa kifungoni
tukakutembelea?
tukakutembelea?’
56. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
40 “Naye Mfalme atawajibu,
‘Amin amin ninawaambia kwa
Amin, amin ninawaambia, kwa
j
jinsi mlimvyotendea
y
mmojawapo wa hawa ndugu
Zangu walio wadogo,
mlinitendea Mimi.
mlinitendea Mimi ’
57. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
41 “Kisha atawaambia wale walio
upande Wake wa kushoto,
upande Wake wa kushoto
‘Ondokeni kwangu, ninyi
g
mliolaaniwa, nendeni kwenye
moto wa milele alioandaliwa
t il l li d li
kwa ajili ya ibilisi na malaika
kwa ajili ya ibilisi na malaika
zake.
58. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
42 Kwa maana nilikuwa na njaa
hamkunipa chakula, nilikuwa na
hamkunipa chakula nilikuwa na
kiu hamkuninywesha,
y ,
59. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
43 Nilikuwa mgeni nanyi
hamkunikaribisha, nilikuwa uchi
hamkunikaribisha nilikuwa uchi
hamkunivika, nilikuwa mgonjwa
, g j
hamkunitunza na nilikuwa
gerezani nanyi hamkuja
kunitembelea.
kunitembelea ’
60. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
44 “Ndipo wao pia watajibu,
‘Bwana ni lini tulikuona ukiwa
Bwana ni lini tulikuona ukiwa
na njaa au kiu, au ukiwa mgeni
j , g
au uchi , au ukiwa mgonjwa na
kifungoni na hatuku‐
kuhudumia?
61. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
45 “Naye atawajibu, ‘Amin, amin
nawaambia, kwa jinsi ambavyo
nawaambia kwa jinsi ambavyo
hamkumtendea mmojawapo
j p
wa hawa ndugu zangu walio
wadogo, hamkunitendea mimi.’
62. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Mathayo 25:34‐46
46 “Ndipo hawa watakapoingia
kwenye adhabu ya milele, lakini
kwenye adhabu ya milele lakini
wale wenye haki wataingia
y g
katika uzima wa milele.’’
64. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
1Timotheo 6:17
‘Waagize wale ambao ni matajiri
wa ulimwengu huu waache
wa ulimwengu huu waache
kujivuna, wala wasiweke
j ,
tumaini lao katika mali ambayo
si ya hakika, bali …
65. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
1Timotheo 6:17
‘ … wamtumaini Mungu ambaye
hutupatia vitu vyote kwa wingi
hutupatia vitu vyote kwa wingi
ili tuvitumie kwa furaha’.
66. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 11
8 Naye Mungu aweza kuwapa
kila baraka kwa wingi, ili katika
kila baraka kwa wingi ili katika
mambo yote kila wakati, mwe
y ,
na kila kitu mnachohitaji, ili
mweze kushiriki kwa wingi
katika kila kazi njema.
katika kila kazi njema
67. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 11
10 Yeye ampaye mpanzi mbegu
kwa ajili ya kupanda na mkate
kwa ajili ya kupanda na mkate
kuwa chakula, atawapa na
, p
kuzidisha mbegu zenu za
kupanda na kuongeza mavuno
ya haki yenu.
ya haki yenu
68. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
2Wakorintho 9:8 – 11
11 Mtatajirishwa kwa kila
namna, ili mpate kuwa na
namna ili mpate kuwa na
ukarimu kila wakati, ambako
,
kwa kupitia kwetu, ukarimu
wenu utamletea Mungu
shukrani.
shukrani
69. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
4. Ili tuvitumie kwa furaha
Zaburi 23:1‐ 2;
‘Bwana ndiye Mchungaji wangu,
‘B di M h ji
sitapungukiwa na kitu.
sitapungukiwa na kitu
Ananilaza katika malisho ya
majani mabichi na kuniongoza
kando ya mito ya maji.’
k d it ji ’
70. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
4. Ili tuvitumie kwa furaha
Zaburi 37:4;
Z b i 37 4
‘Nawe utajifurahisha kwa Bwana
‘Nawe utajifurahisha kwa Bwana
Mungu wako, naye atakupa haja
Mungu wako, naye atakupa haja
za moyo wako’
72. KAZI YA MALI NA UTAJIRI
Wafilipi 4:6‐7,19;
‘Msijisumbue kwa neno lolote,
isipokuwa kwa kusali na
isipokuwa kwa kusali na
kuomba; haja zenu zijilikane
; j j
kwa Bwana; atawajaza kila
mnachohitaji, kwa kadri ya
utajiri wake katika Yesu
utajiri wake katika Yesu’.
73. KANUNI ZA KIROHO
Ni mapenzi ya Mungu tuishi
maisha ya ushindi na
mafanikio ili kutimiza kusudi
ili kutimiza kusudi
la Mungu la kuishi maisha
la Mungu la kuishi maisha
mazuri kama vyombo maalum
vya kumsifu na kumwabudu
Mungu.
74. KANUNI ZA KIROHO
Tunaishi katika dunia yenye
mifumo ya kila aina ya upinzani
ya kila aina ya upinzani
kwa mtu wa Mungu; hivyo
g ; y
Nguvu za Mungu ni kitu cha
lazima katika maisha ya mtu wa
Mungu, ili kumwezesha kuishi
Mungu ili kumwezesha kuishi
maisha ya ushindi na mafanikio
y
katika dunia kama hii.
75. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
2Petro 1:3‐4
3 Kwa
3 Kwa kuwa Uweza wake wa
uungu umetupatia (au nguvu
zake za uungu zimetupatia)
k )
mambo yote
mambo yote tunayohitaji kwa
ajili ya maisha na utakatifu, kwa
kumjua Yeye aliyetuita kwa
utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
76. KUTEMBEA KWA IMANI
2Petro 1:3‐4
4 Kwa sababu hi
b b hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu na
za thamani, ili kwa kupitia hizo
tupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa na
g ,
uharibifu (au upotovu) ulioko
duniani kwa sababu ya tamaa
tamaa.
77. KANUNI ZA KIROHO
Katikati ya upinzani ambao
watu wa Mungu tunaupitia
duniani, Mungu ana njia na
duniani Mungu ana njia na
kanuni za kutuwezesha kuishi
za kutuwezesha kuishi
maisha ya ushindi, bila
kujichafua utakatifu wetu
katika mifumo hii ya uovu.
k ik if hii
78. MBINU ZA MAISHA YA
USHINDI NA MAFANIKIO
Kanuni za Uzalishaji Mali
(Uchumi na Maendeleo)
“Kanuni za Kimwili za
a u a a
Maisha ya Ushindi na Mafanikio”
79. KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37
Pamoja na kwamba Neno la
Mungu linatuahidi Ushindi wa
Mungu linatuahidi Ushindi wa
Yesu msalabani, lakini bado
msalabani, lakini bado
watu wengi tunaishi
maisha ya kushindwa.
80. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Zipo sababu nyingi,
Lakini moja ya sababu kubwa,
kwanini watu wa Mungu tunaishi
kwanini watu wa Mungu tunaishi
maisha ya kushindwa, ni kutojua
y , j
namna ya kuzileta baraka za
rohoni k k
h katika mwili, kwa njia ya
l k
uzalishaji mali ( Productivity ).
uzalishaji mali (“Productivity”)
81. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26‐28, Mwanzo 2:4‐15
M 1 26 28 M 2 4 15
Baraka za Mungu katika maisha
Baraka za Mungu katika maisha
y ,
yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
y
mali (productive).
82. Uchumi na Maendeleo
Kwa Mfano;
K Mf
Tangu Uumbaji wa Dunia
T U b ji D i
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
M 1 1 5 14 19
83. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
1H Hapo mwanzo, Mungu aliumba
M li b
mbingu na nchi; 2 na Dunia
nchi; 2
ilikuwa haina umbo tena ilikuwa
tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa
vilindi vya maji, naye R h wa
ili di ji Roho
Mungu alitanda juu ya maji
maji.
84. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’
akasema, Iwepo nuru
nayo nuru ikawepo. 4 Mungu
akaona ya kuwa nuru ni njema,
ndipo M
di Mungu akatenganisha nuru
k ih
na giza
giza.
85. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
5 Mungu
5 Mungu akaiita nuru “mchana’’
mchana
na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa
jioni ikawa asubuhi, siku ya
kwanza.
86. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
14 Mungu akasema “Iwepo
Mungu akasema, Iwepo
mianga kwenye nafasi ya anga ili
itenganishe mchana na usiku,
nayo i alama ya k
iwe l kutambulisha
b li h
majira mbali mbali siku na miaka
mbali, siku miaka,
87. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
15 nayo iwe ndiyo mianga
y y g
kwenye nafasi ya anga itoe nuru
juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16
Mungu akafanya mianga miwili
mikubwa …
88. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
16 … Mwanga mkubwa utawale
g
mchana (Jua) na mwanga mdogo
utawale usiku (Mwezi). Pia
Mungu akafanya na nyota za
mbinguni.
g
89. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
17 Mungu
17 Mungu akaiweka hiyo mianga
mikubwa miwili (yaani Jua na
(y
Mwezi) katika anga ili iangaze
dunia. 18 … Mungu akaona kuwa
hili nalo ni jema 19 Ikawa jioni
jema. 19 jioni,
ikawa asubuhi, siku ya nne.
, y
90. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Nuru
N Jua
J Mwanga
M
(Yesu/Neno)
(Y /N )
Yoh 1:7‐9
Y h17 9
91. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Kumbe Nuru ya Ulimwenguni
Ulimwenguni,
haitoki kwenye jua na mwezi,
y j ,
kwasababu Nuru ilikuwepo tangu
siku ya kwanza wakati jua na
mwezi viliumbwa baadaye kabisa
katika siku ya nne!
y
92. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Kumbe jua si chanzo chacha
Mwanga au Nuru inayoangaza
g y g
ulimwenguni, bali jua ni
“kibebeo” tu cha kuleta mwanga
duniani, lakini
duniani lakini jua si chanzo cha
cha
Nuru inayoangaza duniani.
y g
93. Kanuni za Maisha ya Ushindi
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Jua Mwanga
(Kiroho) (Kimwili) (Nuru)
(Kiroho) (Kimwili) (Nuru)
Baraka + Kibebeo Nuru
94. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Kwa lugha rahisi;
Mwanga au Nuru inayoangaza
g y g
duniani, ina vyanzo viwili; kimoja
ni kipo katika ulimwengu wa
mwili na kingine kipo katika
ulimwengu wa roho.
g
95. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Chanzo cha Nuru cha rohoni
cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
p y
Nuru cha mwilini kuwepo.
Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho.
96. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Hii ina maana kwamba;
Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla
p
ya Kanuni za Kimwilini kuwepo.
Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo
zinazotawala Kanuni za Kimwili za
Ulimwengu huu.
g
97. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Hii ina maana kwamba;
Hakuna kitu kinachofanyika katika
y
Ulimwengu wa mwili, mpaka
kimefanyika kwanza katika
Ulimwengu wa roho
roho.
98. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Chanzo cha Nuru cha rohoni
cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
p y
Nuru cha mwilini kuwepo.
Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho.
99. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1‐5, 14‐19
Nuru
N Jua
J Mwanga
M
(Yesu/Neno)
(Y /N )
Yoh 1:7‐9
Y h17 9
100. Kanuni za Maisha ya Ushindi
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Jua Mwanga
(Kiroho) (Kimwili) (Nuru)
(Kiroho) (Kimwili) (Nuru)
Baraka + Kibebeo Nuru
101. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Luka 4:1‐4
“Mtu h i hi k mkate tu,
“ hataishi kwa k
bali kwa kila Neno li k l
b li k kil N litokalo
katika kinywa cha Bwana”.
k tik ki h B ”
102. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Luka 4:1‐4
Hii pia ina maana kwamba,
Afya ya mtu haitoki katika mkate
tunaokula tu bali kwa katika
tu, bali
Neno litokalo katika kinywa cha
cha
Bwana Mungu.
103. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Mkate Afya
(Kiroho) (Chakula) (Nguvu)
(Kiroho) (Chakula) (Nguvu)
Baraka + Kibebeo Ushindi
104. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Luka 4:1‐4
Hii pia ina maana kwamba,
Uponyaji wa mtu hautoki katika
Dawa anazotumia tu bali katika
tu, bali
Neno litokalo katika kinywa cha
cha
Bwana Mungu.
105. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Dawa Afya
(Kiroho) (Tiba) (Uponyaji)
(Kiroho) (Tiba) (Uponyaji)
Baraka + Kibebeo Ushindi
106. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Kitanda Usingizi
(Kiroho) (Tiba) (Afya)
(Kiroho) (Tiba) (Afya)
Baraka + Kibebeo Ushindi
107. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Nyumba Home
(Kiroho) (House) (Familia)
(Kiroho) (House) (Familia)
Baraka + Kibebeo Ushindi
108. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Nyumba Usalama
(Kiroho) (Geti) (Ulinzi)
(Kiroho) (Geti) (Ulinzi)
Baraka + Kibebeo Ushindi
109. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Kitabu Akili
(Kiroho) (Shule) (Maarifa)
(Kiroho) (Shule) (Maarifa)
Baraka + Kibebeo Ushindi
110. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Pete Upendo
Pete Upendo
(Kiroho) (Harusi) (Ndoa)
(Kiroho) (Harusi) (Ndoa)
Baraka + Kibebeo Ushindi
111. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Cheti Ajira
(Kiroho) (Shule) (Kazi)
(Kiroho) (Shule) (Kazi)
Baraka + Kibebeo Ushindi
112. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Ajira Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Maendeleo)
(Kiroho) (Kazi) (Maendeleo)
Baraka + Kibebeo Ushindi
113. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanza 1:1‐4, 14‐19
Mistari hii inatuonyesha kwamba,
kumbe kuna kanuni zingine za
k b k k i i i
kiroho, zilizo juu sana kuliko
kiroho, zilizo juu sana kuliko
kanuni hizi za kimwili, na ndizo
zinazotawala ulimwengu huu wa
kimwili na kanuni zake.
ki ili k i k
114. KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4
‘… Na huku ndiko kushinda
kuushindako ulimwengu, ni hiyo
k hi d k li i hi
IMANI yetu’ (Uhakika wa
yetu (Uhakika wa
y y
mambo yasiyoonekana) )
~ Mambo ya Kiroho ~
115. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Mwanza 1:1‐4, 14‐19
Mafanikio katika Kanuni za
Kimwili, yatategemea sana
Ki ili t t
misingi ya Kanuni za Kiroho,
ya Kanuni za Kiroho,
tuliyoiweka maishani mwetu na
katika shughuli zetu.
116. Uchumi na Maendeleo
Baraka hizo za Mungu katika
maisha yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
li ili (k t k
katika ulimwengu wa roho) pale
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
mali ( d ti )
li (productive).
117. Uchumi na Maendeleo
Kwa Mfano;
K Mf
Tangu Uumbaji wa Dunia
T U b ji D i
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
Mwanzo 1:26‐28
M 1 26 28
118. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
4‐5 Siku ile Mungu
4 5 ‘… Siku ile Mungu
alipoziumba mbingu na nchi,
p g ,
hapakuwa na mche wa kondeni
bado, wala mboga haijachipuka
bado, kwasababu …
bado kwasababu ’
119. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
4‐5 Bwana Mungu alikuwa
4 5 ‘… Bwana Mungu alikuwa
bado hajainyeshea nchi mvua,
j y ,
wala hapakuwepo na mtu wa
kuilima ardhi.
120. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26‐28
M 1 26 28
26 ‘Mungu akasema, tufanye
mtu kwa sura yetu na kwa
t k t k
mfano wetu, wakatawale kila
mfano wetu, wakatawale kila
kitu tulichokiumba katika nchi’
121. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26 28
Mwanzo 1:26‐28
28 ‘Bwana Mungu akaumba
28 ‘B M k b
Mwanaume na Mwanamke,
Mwanaume na Mwanamke
akawaweka katika bustani ya
Eden, akawaambia, ‘zaeni na
kuongezeka na kuitawala nchi.’
k k k i l hi ’
122. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
15 Bwana Mungu akamtwaa
15 ‘… Bwana Mungu akamtwaa
huyo mtu, akamweka katika
y ,
bustani ya Eden, ili ailime na
kuitunza.
123. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
Kazi si laana, Kazi si matokeo ya
Kazi si laana Kazi si matokeo ya
dhambi, kazi ni baraka. Kabla
,
hata dhambi haijaja duniani
(kazi ilikuwepo). Tuliumbwa ili
tufanya kazi.
tufanya kazi
124. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Kilimo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
125. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Mifugo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
126. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Biashara Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
127. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Ajira Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
128. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Kipawa Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
129. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Uzalishaji Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
130. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 12:1‐3
M 12 1 3
‘Bwana Mungu akamwambia
Bwana Mungu akamwambia
Ibrahimu, Nitakubariki sana hata
,
kukufanya wewe uwe baraka.
Nitalikuza jina lako, na mataifa
yote yatabarikiwa kupitia wewe
yote yatabarikiwa kupitia wewe’.
131. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 13:1‐3
M 13 1 3
2 Naye Ibrahimu akawa tajiri
2 ‘Naye Ibrahimu akawa tajiri
sana, katika mifugo, na katika
, g ,
fedha na katika dhahabu’.
132. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26‐28, Mwanzo 2:4‐15
M 1 26 28 M 2 4 15
Baraka za Mungu katika maisha
Baraka za Mungu katika maisha
y ,
yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
y
mali (productive).
133. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Kilimo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
134. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Mifugo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
135. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 26:1‐5, 12‐13
M 26 1 5 12 13
1‐5 Bwana Mungu akamwambia
1 5 ‘Bwana Mungu akamwambia
Isaka, hakika nitakubariki
,
kwasababu ya ibrahimu Baba
yako na ahadi zake juu yake.
136. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 26:1‐5, 12‐13
M 26 1 5 12 13
12 Naye Isaka akapanda mbegu,
12 ‘Naye Isaka akapanda mbegu
katika nchi ile, akapata mwaka
, p
ule, vipimo mia (100) kwa
kimoja (1) na bwana
akambariki
akambariki’.
139. Uchumi na Maendeleo
Kwa Mfano;
K Mf
Mungu Baba yako
M B b k
Mwanzo 1:26
M 1 26
Mwanzo 2:7
M 27
140. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26
M 1 26
‘Tufanye mtu kwa sura yetu na
Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu, wakatawale
,
kila kitu tulichokiumba’
141. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:7
M 27
‘Bwana Mungu akamfanya mtu
Bwana Mungu akamfanya mtu
kwa mavumbi ya ardhi,
y ,
akampulizia pumzi iliyo hai
puani mwake, ndipo mtu akawa
nafsi hai
nafsi hai’
142. Kanuni za Maisha ya Ushindi
Mwanzo 1:1‐4, 14‐19
Neno Ufinyanzi B Adam
B’Adam
(roho) (mwili) (Mtu)
(roho) (mwili) (Mtu)
Roho + Kibebeo Adam
143. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:1‐2
M 212
‘Na siku ya saba Mungu
Na siku ya saba, Mungu
alimaliza kazi yake yote
y y
aliyoifanya, akastarehe siku ya
saba, akaacha kufanya kazi yake
aliyoifanya.
aliyoifanya
144. Uchumi na Maendeleo
Kutoka 20:11
K t k 20 11
‘Maana kwa siku sita Bwana
Maana kwa siku sita, Bwana
Mungu wako alifanya kazi,
g y ,
akaumba mbingu na nchi, na
bahari na vyote vilivyomo,
akastarehe siku ya saba ...
akastarehe siku ya saba ’
145. Uchumi na Maendeleo
Kutoka 20:11
K t k 20 11
Ikiwa Mungu Baba yako ni
Ikiwa Mungu Baba yako ni
mfanyakazi, itakuwaje wewe
y , j
kiumbe wake usifanye kazi
wakati, wewe kiumbe ni
matokeo ya kazi ya Mungu?
ya kazi ya Mungu?
146. Uchumi na Maendeleo
Kutoka 20:11
K t k 20 11
Ikiwa Mungu Baba yako ni
Ikiwa Mungu Baba yako ni
mfanyakazi, itakuwaje wewe
y , j
kiumbe wake usifanye kazi
wakati, wewe kiumbe ni
matokeo ya kazi ya Mungu?
ya kazi ya Mungu?
147. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
Kazi si laana, Kazi si matokeo ya
Kazi si laana Kazi si matokeo ya
dhambi, kazi ni baraka. Kabla
,
hata dhambi haijaja duniani
(kazi ilikuwepo). Tuliumbwa ili
tufanya kazi.
tufanya kazi
148. Uchumi na Maendeleo
Waefeso 4:28
W f 4 28
“Mwibaji asiibe tena bali kwa
Mwibaji asiibe tena, bali kwa
mikono yake, afanye kazi kwa
y , y
juhudi, ili apate kitu cha
kumgawia mhitaji.
149. Uchumi na Maendeleo
Baraka za Mungu katika maisha
yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
li ili (k t k
katika ulimwengu wa roho) pale
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
mali (productive)
(productive).
150. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Uzalishaji Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
152. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Wakorintho 3:9
9 Kwa maana sisi tu watenda kazi
pamoja na Mungu.
(kwa ushindi na mafanikio)
(k hi di f iki )
153. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 8:28‐30
28 Na kwahiyo basi, katika mambo
yote, Mungu hufanya kazi pamoja
na wale wampendao katika
wale wampendao, katika
kuwapatia mema.
(ushindi, faida na mafanikio)
154. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …
Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini
alichagua tu, kufanya kazi kwa
alichagua tu kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo,
kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
binadamu katika kutawala dunia
155. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,18,
26 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia
na vyote tulivyoviumba juu ya uso
na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
156. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26‐18
28 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika
bustani ya dunia, akawaambia,
bustani ya dunia akawaambia
zaeni mkaongezeke na kuitawala
(kuitiisha) dunia.
157. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16
Mbingu ni mbingu za Bwana, bali
nchi amewapa wanadamu
Isaya 45:11
… kwa habari ya kazi za mikono
yangu, haya niagizeni (niamuruni)
yangu haya niagizeni (niamuruni)
158. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18‐19
y
19 Kwa maana nitawapa funguo za
Ufalme, na mambo mtakayoyafunga
(ninyi) yatakuwa yamefungwa
(ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni), na mambo
mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa
yamefunguliwa (mbinguni)
yamefunguliwa (mbinguni)
159. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18‐19
y
18 Na milango ya kuzimu
haitaweza kulishinda kanisa
langu nitakalolijenga
(kwa mfumo huu).
(kwa mfumo huu)
160. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18‐19
y
Mistari hii yote, inaonyesha wazi
kwamba, ili mapenzi ya Mungu
yatimizwe duniani (baraka na
yatimizwe duniani (baraka na
ushindi) ni lazima binadamu naye
afanye wajibu wake ili kulitimiza
kusudi la Mungu duniani
kusudi la Mungu duniani
161. Uchumi na Maendeleo
Baraka za Mungu katika maisha
yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
li ili (k t k
katika ulimwengu wa roho) pale
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
mali (productive)
(productive).
163. IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1‐4
4 Kwa maana, kila kitu
kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu na
ulimwengu, na
huku ndiko kushinda,
huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni
hiyo Imani yetu.”
165. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 10:38
‘Mwenye haki wangu, ataishi
y g
kwa Imani, naye akisitasita,
Roho yangu haitamfurahia.’
166. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa imani ndiyo siri ya ushindi
wetu duniani na ikiwa imani
ndio kitu kinachokufanya uwe
rafiki wa Mungu ili kutembea
naye duniani;
duniani;
Imani ni nini?
167. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Waebrania 11:1
Imani ni kuwa na uhakika wa
ni kuwa na uhakika wa
mambo yatarajiwayo, ni
mambo yatarajiwayo, ni
y ( )
bayana (uthibitisho) wa
mambo yasiyoonekana.
168. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Ni uhakika wa mambo
yatarajiwayo, mambo ambayo
yatarajiwayo mambo ambayo
bado hayajatokea, lakini tuna
bado hayajatokea, lakini tuna
uhakika (imani) kwamba, hayo
mambo yapo, na yatatokea
baada ya muda (tunayatarajia).
baada ya muda (tunayatarajia)
169. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Kwa sasa hatuyaoni
(hayaonekani), kwasababu
(hayaonekani) kwasababu
bado hayajatokea, lakini tuna
bado hayajatokea, lakini tuna
uhakika (imani) kwamba, hayo
mambo yapo, na yakuja baada
ya muda (tunayatarajia).
ya muda (tunayatarajia)
171. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Kwahiyo, hata kama huoni kwa
macho au hujashika kwa mikono,
lakini amini tu kwamba hayo
kwamba, hayo
mambo yapo
mambo yapo na yanakuja
kutokea, baada ya muda; hivyo
anza kukiri ushindi.
174. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(Warumi 10:17)
(Warumi 10:17)
‘Imani yenye Nguvu ya
yenye Nguvu ya
kuhamisha milima,
kuhamisha milima
huzaliwa kwa Neno la
huzaliwa kwa Neno la
Mungu lililovuviwa
lililovuviwa.
175. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 4:12
‘Neno la Mungu li hai,
tena lina Nguvu’
(ya kutenda hata kuleta
mabadiliko)
176. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Timotheo 3:16 17
2Timotheo 3:16‐17
‘Kila andiko/tamko lenye
Kila andiko/tamko lenye
p
pumzi/uvuvio wa Mungu,
/ g ,
lafaa kwa kuleta mabadiliko
ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi)
181. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16‐18
17 Eliya likuwa mwanadamu
kama sisi, lakini aliomba kwa
bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi,
bidii mvua isinyeshe juu ya nchi
na mvua haikunyesha juu ya nchi
na mvua haikunyesha juu ya nchi
kwa muda wa miaka mitatu (3)
na miezi sita (6).
182. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16‐18
18 (baada ya miaka mitatu na
nusu) Eliya akaomba tena kwa
bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
bidii ili mvua inyeshe na mvua
ikanyesha, na nchi ikazaa
ikanyesha, na nchi ikazaa
matunda yake.
183. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16‐18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na
ninyi, ombeaneni ili mpate
kuponywa; kuomba kwake
kuponywa; kuomba kwake
mwenye haki kwafaa sana,
mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.
185. KANUNI ZA KIROHO
Kuna kiwango maalum cha
Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa
kinachomwezesha mtu wa
Mungu, aishi maisha ya
Mungu aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika
,
kulitimiza kusudi la Mungu.
187. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9‐20
Bwana Yesu alimaanisha
li ih
kwamba; wanafunzi wake
kwamba; wanafunzi wake
hawakuishi Maisha ya Maombi,
y ,
Ndio maana hazikuzalishwa
Nguvu za Mungu za kutosha,
kuondoa lil t ti
k d lile tatizo.
188. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Wafalme 18:41‐44
Nidhamu ya Maombi ya muda
idh bi d
mrefu, inahitajika
mrefu inahitajika sana katika
kusababisha uumbaji ya mambo
j y
katika ulimwengu wa roho,
tunayoyahitaji sana katika
ulimwengu wa mwili.
li ili
189. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Wafalme 18:41‐44
Kwa Mfano wa;
Nidhamu ya Kuku
y
anayelalia (anayeatamia)
y ( y )
mayai ili kutotoa vifaranga
190. Marko 11:23‐24
Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
(T i i) (I i)
Maombi ya Maombi ya
Kuumba Sifa + Kufungulia
Kuanza Kifaranga Kifaranga
Kulalia kucheza kototoka
(Ndani) (Nje)
Mwilini
191. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda
y y
fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari
jambo lako limeumbika katika
jambo lako limeumbika katika
ulimwengu wa roho, na baada
g ,
ya muda litatokeza katika
ulimwengu wa mwili.
192. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
(23) amini kwamba hayo
uyasemayo (tayari) yametukia
(tayari) yametukia
(hata kama huyaoni), hapo
ndipo yatakuwa yake
(yatadhihirika) katika
kuonekana na kushikika
kushikika.
193. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12 14 20 24
11:12‐14, 20‐24
24 Kwa sababu hiyo nawaambia
nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali,
aminini ya kwamba;
mnayapokea (
k (sasa) nayo yatakuwa
) k
yenu (baadaye)
(baadaye).
194. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
Swali
24 Ikiwa tayari nimeshapokea
“sasa”, kwanini hilo jambo liwe
, j
langu “baadaye” na sio sasa?
195. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
Swali
24 Hiyo “baadaye” ni ya nini
“baadaye” ni
ikiwa tayari nimeshapokea
y p
hili jambo “sasa”?
196. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
Swali
24 kwanini lisiwe langu “sasa”
“sasa”,
badala yake litakuwa langu
y g
“baadaye” na sio sasa? Wakati
tayari nimeshapokea “sasa”?
197. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12 14 20 24
11:12‐14, 20‐24
24 Kwa sababu hiyo nawaambia
nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali,
aminini ya kwamba;
mnayapokea (
k (sasa) nayo yatakuwa
) k
yenu (baadaye)
(baadaye).
198. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23‐24
mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
( ) (b d )
Ulimwengu wa Ulimwengu wa
kiroho kimwili
199. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
Mtu wa Mungu, hataweza
kuelewa kitu Yesu aliongea hapa
hapa,
kama hajui namna Mungu
j g
anavyofanya mambo, kwa
kanuni zake d i i
k i k duniani.
~ Njia (Style) za Mungu ~
Njia (Style) za
200. KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
f ;
Uumbaji wa Dunia
Uumbaji wa Dunia
Waebrania 11:3
Waebrania 11:3
201. KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3
“Nasi twajua ya kuwa, Ulimwengu
uliumbwa kwa Neno la Mungu,
uliumbwa kwa Neno la Mungu
y
hata vitu vinavyoonekana, ,
havikufanywa kwa vitu vilivyo
dhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi au
dh hi i ( i ili i i
vitu vinavyoonekana)
vitu vinavyoonekana)”
202. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
K hi M li b d i
aliiumba katika ulimwengu wa
aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha
rohoni, ndipo akaizaa (akai‐
h d k ( k
photocopy au akai‐print) katika
au akai print) katika
ulimwengu wa mwili.
203. Ulimwengu wa roho
Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Milele
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3‐4 7
e
33
33
30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
204. Ulimwengu wa roho
Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Milele
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3‐4 7
e
33
33
30 3 ½ 3 ½ 3 ½
600 Injili
Ulimwengu wa Roho 2000
2000 Kanisa
Kanisa Dhiki
700
Ulimwengu wa Mwili
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15
(3) Isaya 9: 6
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo 33 AD 33 AD
205. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
K hi M li b d i
aliiumba katika ulimwengu wa
aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha
rohoni, ndipo akaizaa (akai‐
h d k ( k
photocopy au akai‐print) katika
au akai print) katika
ulimwengu wa mwili.
207. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44
1 W k i th 15 44
“Ikiwa kuna mwili wa asili
Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
p , p
209. KWANINI ROHO MTAKATIFU
Kwa jinsi Mungu
alivyoutengeneza ulimwengu
alivyoutengeneza ulimwengu
huu, binadamu hataweza
huu, binadamu hataweza
kusababisha mabadiliko ya
ushindi maishani mwake, pasipo
kupitia katika li
k i i k ik ulimwengu wa
yasiyoonekana kwanza
kwanza.
210. KANUNI ZA KIROHO
2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (
i k (vya kimwili) ni
ki ili) i
vya muda; bali tuviangalie vitu
vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho)
y ( y )
kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
211. ULIMWENGU WA ROHO
Kabla jambo halijatokea
duniani katika ulimwengu wa
mwili, ni lazima lifanywe
mwili ni lazima lifanywe
kutokea katika ulimwengu wa
kutokea katika ulimwengu wa
roho kwanza. Ndivyo ambavyo
Mungu aliutengeneza
ulimwengu huu.
li h
212. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika
bali analifanya kwanza katika
ulimwengu wa roho.
213. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
(23) (baada ya maombi) amini
kwamba hayo uyasemayo
(tayari) yameshatokea
(tayari) yameshatokea (hata
kama huyaoni), hapo ndipo
yatakuwa yake (yatadhihirika)
katika kuonekana na kushikika
kushikika.
214. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12 14 20 24
11:12‐14, 20‐24
(24) Kwa sababu hiyo nawaambia
nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali,
aminini ya kwamba;
mnayapokea (
k (sasa) nayo yatakuwa
) k
yenu (baadaye)
(baadaye).
215. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23‐24
mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
( ) (b d )
Ulimwengu wa Ulimwengu wa
kiroho kimwili
216. Marko 11:23‐24
Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
(T i i) (I i)
Maombi ya Maombi ya
Kuumba Sifa + Kufungulia
Kuanza mnayapokea yatakuwa
maombi (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
217. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda
y y
fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari
jambo lako limeumbika katika
jambo lako limeumbika katika
ulimwengu wa roho, na baada
g ,
ya muda litatokeza katika
ulimwengu wa mwili.
218. Marko 11:23‐24
Ulimwengu wa roho
Tumaini Imani
“Nita …” “Nime ….”
Nita … Nime ….
Kuanza mnayapokea yatakuwa
maombi (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
220. NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐44;
Baada ya ile Sadaka na Maombi,
Nabii Eliya akawaambia watu,
‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua
Kimbieni, nasikia sauti ya mvua
tele’ (mstari 41), kabla hata ya
( ), y
kuona dalili zozote za mvua katika
ulimwengu wa mwili.
l l
221. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho
Ulimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1‐14)
/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / /
/ / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12
Mkuu Mkuu Mkuu
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
222. Marko 11:23‐24
Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
(T i i) (I i)
Maombi ya Maombi ya
Kuumba Sifa + Kufungulia
Kuanza mnayapokea yatakuwa
maombi (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
223. NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐44;
Baada ya ile Sadaka na Maombi,
kabla hata ya kuona dalili zozote
za mvua katika ulimwengu wa
za mvua katika ulimwengu wa
mwili, Nabii Eliya akawaambia
, y
watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya
mvua tele’ (mstari 41),
l ’( )
224. NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;
Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na
baada ya maombi mazito mara
baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa
(7), ndipo mvua kubwa
sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44‐45).
226. NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;
Kumbe, mvua haikunyesha
katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa
mpaka kwanza ilipotengenezwa
katika ulimwengu wa kiroho
katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.
227. NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41‐45;
Kwahiyo, kumbuka kwamba,
Kanuni za kiroho, ndizo
i ki h di
zilizotangulia kusababisha athari
zilizotangulia kusababisha athari
g
katika ulimwengu wa rohoni
kwanza, ili mvua inyeshe katika
ulimwengu wa mwili.
228. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Kwahiyo, hata kama huoni kwa
macho au hujashika kwa mikono,
lakini amini tu kwamba hayo
kwamba, hayo
mambo yapo
mambo yapo na yanakuja
kutokea, baada ya muda.
229. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Tatu;
H M hi T
3. Usikivu kwa Uongozi wa
Roho Mtakatifu
Warumi 8:16, 26‐27
2Tim 3:16‐17
230. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani
Siri ya kutembea katika imani ipo
ya kutembea
katika kukiri, yale uyatakayo,
mara baada ya kupata uhakika
wa R h Mt k tif ukiwa k tik
Roho Mtakatifu ki katika
hali ya maombi juu ya swala hilo.
ya maombi ya swala
231. SIRI YA KANISA LA LEO
Warumi 8:16
‘Wale wanoongozwa na Roho
wa M
Mungu, hao ndio wana wa
h di
Mungu.
Mungu ’
232. SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha nguvu za Mungu
cha nguvu
maishani mwako, kitategemea
kiwango cha utii unaompa
Roho Mtakatifu ambaye ni
Mtakatifu, ambaye
Msaidizi wako.
233. SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha Utii unaompa Roho
Kiwango cha Utii unaompa Roho
Mtakatifu, kinategemea
kiwango cha usikivu wako ktk
• k
kuitambua sauti yake (signal)
b k ( l)
• k i iki sauti yake (kuelewa)
kuisikia ti k (k l )
• kuitii sauti yake (kutenda)
sauti yake (kutenda)
234. USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Lakini kikubwa zaidi;
Roho Mtakatifu
anataka kuongoza!
Ndio moja ya kazi yake
iliyomleta duniani
Yohana 16:13
235. KUONGOZWA NA
ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU
NAMNA YA KUSIKIA
SAUTI YA MUNGU NA
UONGOZI WA
ROHO MTAKATIFU
236. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. Namna za KAWAIDA
1. Kwa
1 Kwa Ushuhuda wa moyoni
(
(Sauti ya Ndani – ‘Rhema’)
y )
Isaya 55:8‐11, Yer 29: 11
(1Kor 2:16, Rum 8:16)
(2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)
237. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. Namna za KAWAIDA
2. Kwa Neno lake
(Neno lili dik ‐ L
(N liliandikwa Logos);
)
(Zab 119:105, 2Tim 3;16‐17)
(Zab 119:105 2Tim 3;16‐17)
238. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. Namna za KAWAIDA
3. Kwa
3. Kwa Amani ya rohoni
ya rohoni
(Furaha/Uhuru)
(Isa 55:12, Kol 3:15)
(Fil 4:6‐7, Efe 4:1‐3)
239. USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Kwahiyo;
Roho Mtakatifu
anataka kuongoza!
Ndio moja ya kazi yake
iliyomleta duniani
Yohana 16:13
240. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Nne;
H M hi N
4. Ujasiri wa Kukiri Ushindi
Warumi 4:16‐20
Mithali 18:20‐21
241. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maneno yana nguvu
Maneno yana nguvu
ya kuumba!
ya kuumba!
Waebrania 11:3
Waebrania 11:3
Yohana 1:1‐4
242. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20 21
Mithali 18:20‐21
Unapoachilia Neno la Mungu
kutoka ndani yako kwa imani,
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
j
hilo neno maishani mwako.
243. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20 21
Mithali 18:20‐21
Unapoachilia neno baya kutoka
ndani yako kwa imani, basi roho
mbaya huja kulivuvia ili
mbaya huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
j
hilo neno hilo maishani mwako.
244. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
NGUVU YA NENO
Waefeso 4:29
Waefeso 4:29
Neno lolote lililo ovu, lisitoke
kinywani mwenu, bali lile lililo
jema, la kumfaa msikiaji.
jema la kumfaa msikiaji
245. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani
Mambo tuyasemayo huwa
yanaumbika katika ulimwengu wa
kiroho kwanza (yametukia). Baada
(y )
ya kuyasema au kuyakiri, ndipo
nguvu za Mungu huingia kazini
kuyaumba katika ulimwengu wa
mwili ( t k
ili (yatakuwa yake).
k )
246. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani
Kutembea kwa Imani
Siri ya kutembea katika imani ipo
Siri ya kutembea katika imani ipo
katika kukiri, yale uyatakayo,
mara baada ya kupata uhakika wa
Roho Mtakatifu ukiwa katika hali
Roho Mtakatifu ukiwa katika hali
ya maombi juu ya swala hilo.
248. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
Warumi 4:16 24
17 Kama ilivyoandikwa:
Kama ilivyoandikwa:
‘‘Nimekufanya wewe kuwa
baba wa mataifa mengi.’’ Yeye
ni baba yetu mbele za Mungu
ib b t b l M
249. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
17 … Ibrahimu baba yetu
alimwamini, Mungu awapaye
ahadi waliokufa na akaanza
h di li k f k
kuvitaja vile vitu ambavyo
vile vitu ambavyo
haviko kana kwamba
vimekwisha kuwako.
250. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
19 Ab h
Abrahamu h k
hakuwa dh if k tik
dhaifu katika
imani hata alipofikiri juu ya mwili
p j y
wake na alipofikiiri juu ya ufu wa
tumbo la Sara ambalo lilikuwa
la Sara, ambalo
kama limekufa, kwani umri wake
ulikuwa unakaribia miaka mia
moja na Sara miaka 90.
Sara miaka
251. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini bali
kutokuamini, bali
akiiona/akiitazama ahadi ya
Mungu, alitiwa nguvu katika
imani yake na kumpa Mungu
utukufu,
utukufu
252. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
21 akiwa na hakika kabisa
kwamba Mungu alikuwa na
uwezo wa kutimiza lile
aliloahidi.
253. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16‐24.
18 Akitarajia yasiyoweza
kutarajiwa, Abrahamu akaamini
k t ji Ab h k i i
atakuwa, Baba wa
atakuwa ‘‘Baba wa mataifa
mengi,’’
(Hata kabla ya kuona mabadiliko
katika tumbo la Sara)
254. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16 24
4:16‐24.
23 Maneno haya “Ilihesabiwa
haya, Ilihesabiwa
kwake kuwa haki,”
hayakuandikwa kwa ajili yake
peke yake,
k k
255. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16 24
4:16‐24.
24 bali kwa ajili yetu sisi pia
pia,
ambao Mungu atatupa haki,
kwa ajili yetu tunaomwamini
Yeye aliyemfufua Y
Y li f f Yesu B Bwana
wetu kutoka kwa wafu.
wafu.
256. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani
Siri ya kutembea katika imani ipo
ya kutembea
katika kukiri, yale uyatakayo,
mara baada ya kupata uhakika
wa R h Mt k tif ukiwa k tik
Roho Mtakatifu ki katika
hali ya maombi juu ya swala hilo.
ya maombi ya swala
257. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1‐4
Imani ndio siri ya ushindi wa
mtu wa Mungu duniani. Mtu
t M d i i Mt
wa Mungu asipojua siri ya
wa Mungu asipojua siri ya
kutembea kwa Imani, ,
hataweza kuishi maisha ya
ushindi duniani.
258. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12‐14, 20‐24
(23) amini kwamba hayo
uyasemayo (tayari) yametukia
(tayari) yametukia
(hata kama huyaoni), hapo
ndipo yatakuwa yake
(yatadhihirika) katika
kuonekana na kushikika
kushikika.
260. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 2:17, 26
k b
Kwa maana, kama mwili
k l
pasipo roho imekufa, vivyo
pasipo roho imekufa vivyo
hivyo, imani pasipo matendo,
hivyo imani pasipo matendo
p
pia imekufa.
265. KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mifano Mingine mbalimbali;
Kununua nepi na beseni kabla
ya kuona dalili za mimba
Kununua suti ya harusi kabla ya
y y
kumpata Bwana Arusi
Kujenga gereji ya gari kabla ya
kupata gari
266. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua za Imani Timilifu
(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)
(2) Kulifanya litokee (Mrk 11:23)
(3) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)
(4) Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)
(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1 9)
17:1‐9)
268. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
4‐5 Siku ile Mungu
4 5 ‘… Siku ile Mungu
alipoziumba mbingu na nchi,
p g ,
hapakuwa na mche wa kondeni
bado, wala mboga haijachipuka
bado, kwasababu …
bado kwasababu ’
269. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
4‐5 Bwana Mungu alikuwa
4 5 ‘… Bwana Mungu alikuwa
bado hajainyeshea nchi mvua,
j y ,
wala hapakuwepo na mtu wa
kuilima ardhi.
270. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
M 2 4 15
15 Bwana Mungu akamtwaa
15 ‘… Bwana Mungu akamtwaa
huyo mtu, akamweka katika
y ,
bustani ya Eden, ili ailime na
kuitunza.
271. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Mifugo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
272. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 12:1‐3
M 12 1 3
‘Bwana Mungu akamwambia
Bwana Mungu akamwambia
Ibrahimu, Nitakubariki sana hata
,
kukufanya wewe uwe baraka.
Nitalikuza jina lako, na mataifa
yote yatabarikiwa kupitia wewe
yote yatabarikiwa kupitia wewe’.
273. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 13:1‐3
M 13 1 3
2 Naye Ibrahimu akawa tajiri
2 ‘Naye Ibrahimu akawa tajiri
sana, katika mifugo, na katika
, g ,
fedha na katika dhahabu’.
274. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Uzalishaji Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
275. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 26:1‐5, 12‐13
M 26 1 5 12 13
1‐5 Bwana Mungu akamwambia
1 5 ‘Bwana Mungu akamwambia
Isaka, hakika nitakubariki
,
kwasababu ya ibrahimu Baba
yako na ahadi zake juu yake.
276. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 26:1‐5, 12‐13
M 26 1 5 12 13
12 Naye Isaka akapanda mbegu,
12 ‘Naye Isaka akapanda mbegu
katika nchi ile, akapata mwaka
, p
ule, vipimo mia (100) kwa
kimoja (1) na bwana
akambariki
akambariki’.
278. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Kilimo Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
279. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 2:4‐15
Neno Uzalishaji Mafanikio
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
(Kiroho) (Kazi) (Utajiri)
Baraka + Kibebeo Ushindi
280. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 1:26‐28, Mwanzo 2:4‐15
M 1 26 28 M 2 4 15
Baraka za Mungu katika maisha
Baraka za Mungu katika maisha
y ,
yetu, zitadhihirika katika
ulimwengu wa mwili (kutoka
katika ulimwengu wa roho) pale
tutakapochukua hatua ya
tutakapochukua hatua ya
kufanya kazi na kuwa wazalisha
y
mali (productive).
282. MBINU ZA MAISHA BORA
MBINU ZA MAISHA BORA
Kanuni za Uzalishaji Mali
(Uchumi na Maendeleo)
“Kanuni za Kimwili za
a u a a
Maisha ya Ushindi na Mafanikio”
283. Uchumi na Maendeleo
Uchumi ni namna (maarifa)
ni namna (maarifa)
y
ya mtu kutumia rasilimali
zilizopo kwa madhumuni ya
kutimiza mahitaji na
matakwa yake kwa njia
k k k
nafuu /bora zaidi
/bora zaidi.
285. Uchumi na Maendeleo
Maendeleo ni hali ya mtu
ni hali ya mtu
g
kutoka katika kiwango cha
maisha duni na kupiga hatua
kuishi katika kiwango cha
maisha bora zaidi.
h b d
286. Uchumi na Maendeleo
Maisha Bora Zaidi
Maisha Bora Zaidi
Maisha Bora
Maisha Bora
Maisha Wastani
Maisha Wastani
Maisha Duni
Maisha Duni
Maisha Duni Sana
Maisha Duni Sana
287. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Isaya 48:17
I 48 1
17 Mi i i B
Mimi ni Bwana Mungu
M
wako, nikufundishaye ili
wako nikufundishaye ili
upate faida.
288. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Isaya 1:18‐19
I 1 18 19
19 … Mkikubali na kutii,
mtakula mema ya nchi …
(the best of the land)
289. Uchumi na Maendeleo
Maisha Bora Zaidi
Maisha Bora Zaidi
Maisha Bora
Maisha Bora
Maisha Wastani
Maisha Wastani
Maisha Duni
Maisha Duni
Maisha Duni Sana
Maisha Duni Sana
290. KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
Zaburi 1:1‐3
b i
Heri mtu yule asiyeenenda
H i t l i d
katika njia za wasio haki, bali
katika njia za wasio haki, bali
sheria ya Bwana ndiyo inayo‐
mpendeza; mtu huyo atakuwa
kama mti uliopandwa kando ya
kama mti uliopandwa kando ya
kijito cha maji …
kijito cha maji …
291. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Zaburi 1:1‐3
b i
… majani yake ni ya kijani siku
majani yake ni ya kijani siku
zote, na anazaa matunda yake
, y
kwa majira yake; na kila jambo
alifanyalo, litafanikiwa.
293. Kanuni za Mafanikio
Mwa 32:9‐12.
“Nilivuka mto huu nikiwa na
fimbo
f b tu, leo hii ninarudi nikiwa
l h d k
matuo mawili”
mawili
294. Kanuni za Mafanikio
Mwa 32:9‐12
32:9 12.
Tuo 1 = watu 600 (kundi)
(Matuo 2 600 2)
(M t 2 = 600 x 2)
(Matuo 2 = 1 200)
2 = 1,200)
295. Kanuni za Mafanikio
Mfano
Mwa 32:9‐12.
“Nilivuka mto huu nikiwa na
peke yangu na f b tu, lakini
k fimbo l k
leo hii
leo hii ninarudi nyumbani
nikiwa na wafanyakazi 1,200”
y
299. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 30:25‐30
25 Ikawa Raheli alipomzaa
Yusufu, Yakobo akamwambia
Yusufu Yakobo akamwambia
Labani, Nipe rihisa niende kwa
Labani, “Nipe rihisa niende kwa
watu wa kwetu, katika nchi ya
kwetu.’’
300. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 30:25‐30
27 Lakini Labani akamwambia,
‘‘Ikiwa nimepata kibali machoni
‘‘Ikiwa nimepata kibali machoni
pako, tafadhali ukae.
pako, tafadhali ukae.
Nimegundua kwa njia ya uaguzi
kwamba BWANA amenibariki
kwa sababu yako.’’
kwa sababu yako ’’
301. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 30:25‐30
28 Akaongeza kumwambia,
‘‘Taja ujira wako nami
‘‘Taja ujira wako nami
nitakulipa. 29 Yakobo
nitakulipa.’’ 29 Yakobo
akamwambia, ‘‘Unajua jinsi
ambavyo nimekutumikia …
302. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 30:25‐30
29 … na jinsi ambavyo wanyama
wako walivyolishwa vizuri chini ya
wako walivyolishwa vizuri chini ya
uangalizi wangu. 30 Kidogo
ulichokuwa nacho kabla sijaja
kimeongezeka sana, naye BWANA
ki k BWANA
amekubariki popote nilipokuwa.
amekubariki popote nilipokuwa.
303. Uchumi na Maendeleo
Mwanzo 30:25‐30
30 … Lakini sasa, ni lini
nitashughulikia mambo ya
it h h liki b
nyumba yangu mwenyewe?
nyumba yangu mwenyewe?’’
305. Maana ya Ujasiliamali
Ni maarifa, uwezo au ujuzi wa
Ni maarifa uwezo au ujuzi wa
mtu kutambua fursa za
kiuchumi, uzalishaji mali au
mbinu mpya za utoaji huduma
bi ji h d
kwa (kuthubutu) kutumia
kwa (kuthubutu) kutumia
rasilimali zilizopo …
306. Maana ya Ujasiliamali
… ili kukutana na mahitaji na
ili kukutana na mahitaji na
matakwa ya watu, kwa
y ,
madhumuni ya kukidhi mahitaji
yako na matakwa yako, na
kupata faida zaida zitakazoleta
k pata faida aida itaka oleta
maendeleo ktk maisha.
ktk maisha