SlideShare una empresa de Scribd logo
1 de 3
MAISHA YA UJANA/WAKATI WA UJANA (MHUBIRI 12:1-8)
(VIJANA WA KIUME NA WAKIKE UMRI MIAKA 13-35)
MJUMBE WA BWANA VICTOR MSERE AKIDIVA
Ujana ni kipindi kati ya utoto na utu uzima au ukomavu. Kipindi chochote cha kuendelea kuwa
au watu wachanga kwa ujumla.
JINSI YA MAISHA YA UJANA:
(i) Kuwa mbichi, na nguvu, pia kuchangamka
(ii) Kutokuwa mkomavu
(iii) Kuwa na uwezo wa kutunza maisha, nguvu nyingi, hai na muhimu sana, wakati huu
mwili unauwezo wa nguvu nyingi hata kiakili.
(iv) Majukumu machache na uhuru mwingi.
(v) Muda wa kutosha au mwingi wa kufanya chochote utakacho katika maisha yako.
MAMBO YA KUFANYA KATIKA MAISHA YA UJANA:
1) Weka msingi kwa ajili ya maisha yako (Mathayo 7:24-27)
2) Jenga madhabahu ya Bwana katika maisha yako (Waamuzi 6:11-40)
3) Tengeneza uhusiano wako na Mungu (Mika 6:8)
4) Chagua marafiki wema na sahihi (Mithali 18:24)
5) Tengeneza uhusiano wa haki na kweli (Mathayo 1:19-25)
6) Soma, tafakari na kulitenda Neno la Mungu (Yoshua 1:8)
7) Maombi kwa ajili ya maisha yako (Wathesalonike 5:17)
8) Mruhusu Roho wa Mungu akuongoze katika maisha yako (Wagalatia 5:16)
9) Tafuta kuyajua mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako (Warumi 12:1-2)
10) Tafuta haki na utakatifu (Mathayo 6:33)
11) Mtii Mungu katika kila jambo (Kumbukumbu la Torati 28:1-2)
12) Mtumikie Bwana Mungu wako kwa nguvu zako zote (1 Wakorintho 15:58)
MATOKEO YA KUKOSA KUUTUMIA VIZURI UJANA WAKO:
1) Majuto na malalamiko
2) Kulaani watu au kulaaniwa.
3) Kutofaulu katika maisha.
4) Kuchanganyikiwa
5) Kifo na uharibifu.
UTUKUFU APEWE MUNGU:
VICTOR MSERE AKIDIVA
CELL: 0762-179 401
E-mail: victormsere@yahoo.com
MAISHA YA UJANA YALIYOFANIKIWA (MITHALI 16:3)
Kijana yeyote anahitaji kufanikiwa katika maisha afaa kufanya mambo yafuatayo, kulingana na
Neno la Mungu.
1) ameokoka na kufahamu mapenzi ya Mungu kuhusu, katika maisha yake (Yohana 1:11-
13)
2) Kusoma, kutafakari na kutenda Neno takatifu la Mungu (Yoshua 1:8)
3) Humtii Mungu katika kila jambo afanyalo kupitia kwake Roho Mtakatifu (Kumbukumbu
la Torati 28:1-2)
4) Hudumu katika maombi (Wathesalonike 5:17)
5) Huchukia uovu na kutengeneza uhusiano mwema na Mungu wake (Warumi 12:21,
Zaburi 101:3-4, Mika 6:8)
6) Hutembea katika haki na utakatifu (Mathayo 5:10-12, Waebrania 12:14)
7) Hutengeneza madhabahu kwa ajili ya Mungu na kuzifuata njia za Mungu (Warumi
12:21, Zaburi 101:3-4, Mika 6:8)
8) Huchagua marafiki wema naye hawi na marafiki wengi. (Mithali 18:24)
9) Humwamini Mungu na kukiri uzima wakati wote (Mithali 18:21)
10) Huyafanya mambo wakati sahihi katika maisha yake (Mhubiri 3:1)
11) Hutia bidii katika kila jambo naye hana uvivu (Mithali 6:6-11)
12) Hufanya uamuzi bora naye hujitahidi katika aliloliamua na kulifanya (Danieli 1:8-12)
Kijana yeyote anayehitaji kufaulu lazima aishi maisha ya kibiblia ala sivyo mwisho wake huwa
si mzuri maana ipo njia ionekanayo kuwa nzuri machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake
huwa ni mauti Mithali 16:25.
Kufaulu na kutofaulu huwa katika nnjia ya vijana lakini zipo njia zinazo elekea kwake kila
mojawapo. Chochote unachokuchagua huwa na mwelekeo wa kufikia mojawapo. Ni chaguo lako
kupitia moja wapo ya nnjia hizo. Bwana Yesu akubariki unapofanya uamuzi wa kumfuata
Mungu katika utakatifu.
CELL: 0762-179 401
E-mail: victormsere@yahoo.com
KUSHINDA ZINAA (WAKORINTHO 6:9) NA UPOTOFU WA MAADILI:
Dhambi za kingono ni dhambi ambazo hutenda ndani ya mwili nazo huutia mwili unajisi ambao
ndio hekalu la Mungu. Huwa na ngome na roho ambazo hutenda kazi ili kutimiza mapenzi ya
Yule mwovu na adui wa haki yote. Dhambi hii hufuata msururu wa matukio kuanzia rohoni,
matamio, mawazo, au fikra, tama kisha dhambi.
Athari au hatari iliyopo katika dhambi za kingono:
(1) Huharibu hekalu la Mungu.
(2) Kifo au mauti ya kiroho na mwili (Mungu huhukumu dhambi za kingono)
(3) Adui wa mafuta ya kutiwa
(4) Huharibu na kuua hatima nzuri ya wahusika.
UPOTOFU WA MAADILI:
Maana yake ni kuhalifu maadili yaliyowekwa na jamii, ufisadi.
(1) Uharibifu wa kingono, kutenda ngono na watu wengi
(2) Kutokuwa kijamii kisahihi.
(3) Kuleta uchafu au ufisadi.
Ili mtu kuishinda zinaa na mambo haya yote lazima afanye mambo yafuatayo:-
(a) Afahamu jinsi Mungu huitazama dhambi hii 2 Samweli 11, 12:1-15 Bwana huufunga
mlango wake juu yako (adhabu na hukumu) nayo humsababisha mtu kuondoka katika
mapenzi ya Mungu, Mungu hukoma kusema nawe naye hukutumia manabii.
(b) Huleta mauti Waamuzi 16:1-25. Neno Delila humaanisha kunyonya uzima au kuondoa
uzima. Mambo ya Walawi 20:10-,17. Kumbukumbu la Torati 22:22-25, Mithali 6:20-35.
Neno vipodozi lina maana ya kidunia au udunia.
JINSI YA KUISHINDA ZINAA: WAEBRANIA 12:14 (DHAMBI ZA KINGONO)
(a) I Wathesalonike 4:3-8
1) Kuwa na hitaji au nia ya kutakaswa.
2) Ujazwe na kuongozwa na Roho Mtakatifu.
3) Uwe na maarifa ya Mungu.
(b) Warumi 1:21-28 (amua kuiacha zinaa na ngono isiyo halali)
KUHARIBU NA KUVUNJA MINYORORO YA DHAMBI YA KINGONO:
1) Maombi
2) Kujitenga (kimwili na kiroho) kwa ajili ya Mungu.
3) Kuomba na kufunga
4) Neno la Mungu
CELL: 0762-179 401
E-mail: victormsere@yahoo.com

Más contenido relacionado

La actualidad más candente

God's faithfulness
God's faithfulnessGod's faithfulness
God's faithfulnessElmer05
 
God’s Righteousness and Self Righteousness
God’s Righteousness and Self RighteousnessGod’s Righteousness and Self Righteousness
God’s Righteousness and Self RighteousnessOrFenn
 
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The Sanctuary
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The SanctuarySanctuary Presentation 7. Time Limit in The Sanctuary
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The SanctuarySami Wilberforce
 
Salt and Light - Matthew 5:13-20
Salt  and Light - Matthew 5:13-20Salt  and Light - Matthew 5:13-20
Salt and Light - Matthew 5:13-20Alister Pate
 
Armor of God
Armor of GodArmor of God
Armor of Godflutem3
 
Armour of God
Armour of GodArmour of God
Armour of GodSigns2011
 
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary Articles
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary ArticlesSanctuary Presentation 1. The Sanctuary Articles
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary ArticlesSami Wilberforce
 
The Blueprint-1-god-s-gps-juiced
The Blueprint-1-god-s-gps-juicedThe Blueprint-1-god-s-gps-juiced
The Blueprint-1-god-s-gps-juicedAntonio Bernard
 
Tabernacle introandoutercourt
Tabernacle introandoutercourtTabernacle introandoutercourt
Tabernacle introandoutercourtE. Ryan Plank
 
Matt 28:16-20 The Great Commission
Matt 28:16-20  The Great CommissionMatt 28:16-20  The Great Commission
Matt 28:16-20 The Great Commissionhungpham
 
Fearfully and Wonderfully Made
Fearfully and Wonderfully MadeFearfully and Wonderfully Made
Fearfully and Wonderfully MadeDave Mattingly
 
Profecias Del Fin
Profecias Del FinProfecias Del Fin
Profecias Del Finguestf90a99
 

La actualidad más candente (20)

God's faithfulness
God's faithfulnessGod's faithfulness
God's faithfulness
 
Walking in the spirit
Walking in the spiritWalking in the spirit
Walking in the spirit
 
God’s Righteousness and Self Righteousness
God’s Righteousness and Self RighteousnessGod’s Righteousness and Self Righteousness
God’s Righteousness and Self Righteousness
 
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The Sanctuary
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The SanctuarySanctuary Presentation 7. Time Limit in The Sanctuary
Sanctuary Presentation 7. Time Limit in The Sanctuary
 
Salt and Light - Matthew 5:13-20
Salt  and Light - Matthew 5:13-20Salt  and Light - Matthew 5:13-20
Salt and Light - Matthew 5:13-20
 
God, talk to me
God, talk to meGod, talk to me
God, talk to me
 
Armor of God
Armor of GodArmor of God
Armor of God
 
Armour of God
Armour of GodArmour of God
Armour of God
 
Door to God's presence
Door to God's presenceDoor to God's presence
Door to God's presence
 
The Doctrine of Christ
The Doctrine of ChristThe Doctrine of Christ
The Doctrine of Christ
 
Giving
GivingGiving
Giving
 
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary Articles
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary ArticlesSanctuary Presentation 1. The Sanctuary Articles
Sanctuary Presentation 1. The Sanctuary Articles
 
The Blueprint-1-god-s-gps-juiced
The Blueprint-1-god-s-gps-juicedThe Blueprint-1-god-s-gps-juiced
The Blueprint-1-god-s-gps-juiced
 
The Rapture
The RaptureThe Rapture
The Rapture
 
Examine Your Faith
Examine Your FaithExamine Your Faith
Examine Your Faith
 
Holy Spirit
Holy SpiritHoly Spirit
Holy Spirit
 
Tabernacle introandoutercourt
Tabernacle introandoutercourtTabernacle introandoutercourt
Tabernacle introandoutercourt
 
Matt 28:16-20 The Great Commission
Matt 28:16-20  The Great CommissionMatt 28:16-20  The Great Commission
Matt 28:16-20 The Great Commission
 
Fearfully and Wonderfully Made
Fearfully and Wonderfully MadeFearfully and Wonderfully Made
Fearfully and Wonderfully Made
 
Profecias Del Fin
Profecias Del FinProfecias Del Fin
Profecias Del Fin
 

Destacado

Histórias de Noel
Histórias de NoelHistórias de Noel
Histórias de NoelACIDADE ON
 
Arterias de la Aorta Descendente
Arterias de la Aorta DescendenteArterias de la Aorta Descendente
Arterias de la Aorta DescendenteVane Silva
 
Los anhelos de la vida
Los anhelos de la vidaLos anhelos de la vida
Los anhelos de la vidaveritomeru
 
Programa fiestas de_julio_2015
Programa fiestas de_julio_2015Programa fiestas de_julio_2015
Programa fiestas de_julio_2015jlsacor
 
фотоальбом
фотоальбомфотоальбом
фотоальбом1997Olexandr
 
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)Chet Fincke
 
Meu Bairro Centro - Dezembro
Meu Bairro Centro - DezembroMeu Bairro Centro - Dezembro
Meu Bairro Centro - DezembroACIDADE ON
 

Destacado (14)

Website profile (2)
Website profile (2)Website profile (2)
Website profile (2)
 
Histórias de Noel
Histórias de NoelHistórias de Noel
Histórias de Noel
 
Arterias de la Aorta Descendente
Arterias de la Aorta DescendenteArterias de la Aorta Descendente
Arterias de la Aorta Descendente
 
SLA
SLASLA
SLA
 
Los anhelos de la vida
Los anhelos de la vidaLos anhelos de la vida
Los anhelos de la vida
 
Programa fiestas de_julio_2015
Programa fiestas de_julio_2015Programa fiestas de_julio_2015
Programa fiestas de_julio_2015
 
фотоальбом
фотоальбомфотоальбом
фотоальбом
 
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)
brocade-five-pillars-federal-data-centers-wp (1)
 
Business_synthagile
Business_synthagileBusiness_synthagile
Business_synthagile
 
Mdva dh y s empresas
Mdva dh y s empresasMdva dh y s empresas
Mdva dh y s empresas
 
Adote Pet
Adote PetAdote Pet
Adote Pet
 
Meu Bairro Centro - Dezembro
Meu Bairro Centro - DezembroMeu Bairro Centro - Dezembro
Meu Bairro Centro - Dezembro
 
Pemanasan global
Pemanasan globalPemanasan global
Pemanasan global
 
prezentare_maison
prezentare_maisonprezentare_maison
prezentare_maison
 

Similar a Maisha ya ujana

Similar a Maisha ya ujana (6)

Manabii wa uongo
Manabii wa uongoManabii wa uongo
Manabii wa uongo
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
 
Kijana
KijanaKijana
Kijana
 

Más de worldrepentanceandrestoration.org

Más de worldrepentanceandrestoration.org (8)

Website profile (2)
Website profile (2)Website profile (2)
Website profile (2)
 
Website profile (2)
Website profile (2)Website profile (2)
Website profile (2)
 
The mighty vision of God almighty on 18 th october concerning the church a...
The mighty  vision  of God almighty on 18 th october  concerning the church a...The mighty  vision  of God almighty on 18 th october  concerning the church a...
The mighty vision of God almighty on 18 th october concerning the church a...
 
End time prophecies
End time propheciesEnd time prophecies
End time prophecies
 
THE LORDS MESSAGE ON REPENTANCE AND RESTORATION OF TANZANIA
THE LORDS MESSAGE ON REPENTANCE AND RESTORATION OF TANZANIATHE LORDS MESSAGE ON REPENTANCE AND RESTORATION OF TANZANIA
THE LORDS MESSAGE ON REPENTANCE AND RESTORATION OF TANZANIA
 
The mighty vision of god almighty on 18 th october concerning the church a...
The mighty  vision  of god almighty on 18 th october  concerning the church a...The mighty  vision  of god almighty on 18 th october  concerning the church a...
The mighty vision of god almighty on 18 th october concerning the church a...
 
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzaniaMaono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
 
The lords message on repentance and restoration of tanzania
The lords message on repentance and restoration of tanzaniaThe lords message on repentance and restoration of tanzania
The lords message on repentance and restoration of tanzania
 

Maisha ya ujana

  • 1. MAISHA YA UJANA/WAKATI WA UJANA (MHUBIRI 12:1-8) (VIJANA WA KIUME NA WAKIKE UMRI MIAKA 13-35) MJUMBE WA BWANA VICTOR MSERE AKIDIVA Ujana ni kipindi kati ya utoto na utu uzima au ukomavu. Kipindi chochote cha kuendelea kuwa au watu wachanga kwa ujumla. JINSI YA MAISHA YA UJANA: (i) Kuwa mbichi, na nguvu, pia kuchangamka (ii) Kutokuwa mkomavu (iii) Kuwa na uwezo wa kutunza maisha, nguvu nyingi, hai na muhimu sana, wakati huu mwili unauwezo wa nguvu nyingi hata kiakili. (iv) Majukumu machache na uhuru mwingi. (v) Muda wa kutosha au mwingi wa kufanya chochote utakacho katika maisha yako. MAMBO YA KUFANYA KATIKA MAISHA YA UJANA: 1) Weka msingi kwa ajili ya maisha yako (Mathayo 7:24-27) 2) Jenga madhabahu ya Bwana katika maisha yako (Waamuzi 6:11-40) 3) Tengeneza uhusiano wako na Mungu (Mika 6:8) 4) Chagua marafiki wema na sahihi (Mithali 18:24) 5) Tengeneza uhusiano wa haki na kweli (Mathayo 1:19-25) 6) Soma, tafakari na kulitenda Neno la Mungu (Yoshua 1:8) 7) Maombi kwa ajili ya maisha yako (Wathesalonike 5:17) 8) Mruhusu Roho wa Mungu akuongoze katika maisha yako (Wagalatia 5:16) 9) Tafuta kuyajua mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako (Warumi 12:1-2) 10) Tafuta haki na utakatifu (Mathayo 6:33) 11) Mtii Mungu katika kila jambo (Kumbukumbu la Torati 28:1-2) 12) Mtumikie Bwana Mungu wako kwa nguvu zako zote (1 Wakorintho 15:58) MATOKEO YA KUKOSA KUUTUMIA VIZURI UJANA WAKO: 1) Majuto na malalamiko 2) Kulaani watu au kulaaniwa. 3) Kutofaulu katika maisha. 4) Kuchanganyikiwa 5) Kifo na uharibifu. UTUKUFU APEWE MUNGU: VICTOR MSERE AKIDIVA CELL: 0762-179 401 E-mail: victormsere@yahoo.com
  • 2. MAISHA YA UJANA YALIYOFANIKIWA (MITHALI 16:3) Kijana yeyote anahitaji kufanikiwa katika maisha afaa kufanya mambo yafuatayo, kulingana na Neno la Mungu. 1) ameokoka na kufahamu mapenzi ya Mungu kuhusu, katika maisha yake (Yohana 1:11- 13) 2) Kusoma, kutafakari na kutenda Neno takatifu la Mungu (Yoshua 1:8) 3) Humtii Mungu katika kila jambo afanyalo kupitia kwake Roho Mtakatifu (Kumbukumbu la Torati 28:1-2) 4) Hudumu katika maombi (Wathesalonike 5:17) 5) Huchukia uovu na kutengeneza uhusiano mwema na Mungu wake (Warumi 12:21, Zaburi 101:3-4, Mika 6:8) 6) Hutembea katika haki na utakatifu (Mathayo 5:10-12, Waebrania 12:14) 7) Hutengeneza madhabahu kwa ajili ya Mungu na kuzifuata njia za Mungu (Warumi 12:21, Zaburi 101:3-4, Mika 6:8) 8) Huchagua marafiki wema naye hawi na marafiki wengi. (Mithali 18:24) 9) Humwamini Mungu na kukiri uzima wakati wote (Mithali 18:21) 10) Huyafanya mambo wakati sahihi katika maisha yake (Mhubiri 3:1) 11) Hutia bidii katika kila jambo naye hana uvivu (Mithali 6:6-11) 12) Hufanya uamuzi bora naye hujitahidi katika aliloliamua na kulifanya (Danieli 1:8-12) Kijana yeyote anayehitaji kufaulu lazima aishi maisha ya kibiblia ala sivyo mwisho wake huwa si mzuri maana ipo njia ionekanayo kuwa nzuri machoni pa mwanadamu lakini mwisho wake huwa ni mauti Mithali 16:25. Kufaulu na kutofaulu huwa katika nnjia ya vijana lakini zipo njia zinazo elekea kwake kila mojawapo. Chochote unachokuchagua huwa na mwelekeo wa kufikia mojawapo. Ni chaguo lako kupitia moja wapo ya nnjia hizo. Bwana Yesu akubariki unapofanya uamuzi wa kumfuata Mungu katika utakatifu. CELL: 0762-179 401 E-mail: victormsere@yahoo.com
  • 3. KUSHINDA ZINAA (WAKORINTHO 6:9) NA UPOTOFU WA MAADILI: Dhambi za kingono ni dhambi ambazo hutenda ndani ya mwili nazo huutia mwili unajisi ambao ndio hekalu la Mungu. Huwa na ngome na roho ambazo hutenda kazi ili kutimiza mapenzi ya Yule mwovu na adui wa haki yote. Dhambi hii hufuata msururu wa matukio kuanzia rohoni, matamio, mawazo, au fikra, tama kisha dhambi. Athari au hatari iliyopo katika dhambi za kingono: (1) Huharibu hekalu la Mungu. (2) Kifo au mauti ya kiroho na mwili (Mungu huhukumu dhambi za kingono) (3) Adui wa mafuta ya kutiwa (4) Huharibu na kuua hatima nzuri ya wahusika. UPOTOFU WA MAADILI: Maana yake ni kuhalifu maadili yaliyowekwa na jamii, ufisadi. (1) Uharibifu wa kingono, kutenda ngono na watu wengi (2) Kutokuwa kijamii kisahihi. (3) Kuleta uchafu au ufisadi. Ili mtu kuishinda zinaa na mambo haya yote lazima afanye mambo yafuatayo:- (a) Afahamu jinsi Mungu huitazama dhambi hii 2 Samweli 11, 12:1-15 Bwana huufunga mlango wake juu yako (adhabu na hukumu) nayo humsababisha mtu kuondoka katika mapenzi ya Mungu, Mungu hukoma kusema nawe naye hukutumia manabii. (b) Huleta mauti Waamuzi 16:1-25. Neno Delila humaanisha kunyonya uzima au kuondoa uzima. Mambo ya Walawi 20:10-,17. Kumbukumbu la Torati 22:22-25, Mithali 6:20-35. Neno vipodozi lina maana ya kidunia au udunia. JINSI YA KUISHINDA ZINAA: WAEBRANIA 12:14 (DHAMBI ZA KINGONO) (a) I Wathesalonike 4:3-8 1) Kuwa na hitaji au nia ya kutakaswa. 2) Ujazwe na kuongozwa na Roho Mtakatifu. 3) Uwe na maarifa ya Mungu. (b) Warumi 1:21-28 (amua kuiacha zinaa na ngono isiyo halali) KUHARIBU NA KUVUNJA MINYORORO YA DHAMBI YA KINGONO: 1) Maombi 2) Kujitenga (kimwili na kiroho) kwa ajili ya Mungu. 3) Kuomba na kufunga 4) Neno la Mungu CELL: 0762-179 401 E-mail: victormsere@yahoo.com