SlideShare una empresa de Scribd logo
1 de 246
LINDI ISLAMIC FOUNDATION OF TANZANIA
MSINGI WA ASASI ZA KIISLAM LINDI TANZANIA
MKUTANO MKUU WA TATU WA MWAKA
20/12/2015.
AJENDA
2:30 – 3:00 Asubuhi Usajiri
3:00 – 3:10 Asubuhi Dua ya ufunguzi
3:10 – 3:20 Asubuhi Maelezo ya ufunguzi na makaribisho
3:30 – 3:45 Asubuhi Nini maana ya LIFT
3:45 – 3:50 Asubuhi Mabadiliko ya mwaka 2015
 Muundo wa asasi
 Mafunzo
3:50 – 4:30 Asubuhi Taarifa za kamati
4:30 – 4:45 Asubuhi Chai
4:45 – 5:00 Asubuhi Taarifa ya fedha na Matangazo maalum.
5:05 - 5:15 Asubuhi Ahadi za Michango
5:20 - 5:30 Asubuhi Majadiliano
6:00 Mchana Dua ya ufunguzi wa kikao
MAELEZO YA UFUNGUZI
NINI MAANA Y A LIFT?
LIFT NI…..
DHIMA YETU
DIRA NA MAADILI YETU
LIFT inalenga kuwa shirika suna za Mtume Mohamad (S.
W. A) sikivu, wazi, na ambalo hutoa kwa wakati na
kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya, elimu,
chakula na maji kwa waislamu wote, wanaoishi ndani ya
mkoa wa Lindi-Tanzania. LIFT inaamini kuwa kila
wafadhili wachangiaji na mchangiaji lazima aheshimiwe,
na wote ni wenye thamani kwa kila mmoja. LIFT
itazingatia viwango vya juu vya maadili ya quran na
MALENGO YETU
1. Kutoa msaada wa dharura wa chakula kwa wazee, walemavu, na wengine wanaoishi
katika mazingira magumu ambao ni wakazi wa mkoa wa Lindi.
2. Kusaidia jamii katika kuanzisha huduma za afya stahili na salama.
3. Kuwasaidia watoto kupata elimu bora za dini ya kiislamu na kidunia
4. Kusaidia jamii katika kupata maji ya bomba na endelevu
5. Kusaidia jamii katika kujenga miundombinu na kuboresha usafi.
6. Kukuza mazoea ya usafi salama
7. Kuchangia kwenye taasisi za kiislamu, misikiti kwa ajili ya elimu ya kiislamu, misingi ya
Quran, suna na hadithi halisi.
Changes for 2015
MABADILIKO YA 2015
WAJIBU WA MJUMBE WA KAMATI
 Kuhudhuria vikao vya kamati .
 Kujitolea angalau masaa 4 kwa mwezi kwa ajili ya shughuli za LIFT.
 Kusaidiana na mwenyekiti na katibu kwenye utekelezaji wa majukumu yao.
 Kusimamia utekelezaji wa agizo lolote linalokuwa limetolewa na mwenyekiti
wa kamati.
 Kupitia taarifa zozote zinazohusiana na mikutano ya kamati.
 Kuandaa kuchangia na kuzungumzia mambo yote yanayohusu malengo ya
kamati kenye kikao.
 Kupiga kura inapobidi jambo lolote linalohusu kamati.
 Kufuata sera za LIFT.
WAJIBU WA MWENYEKITI
 Mwenyekiti atakuwa Meneja wa kamati.
 Atawajibika kupanga ratiba za mkutano.
 Atawajibika kupanga ukumbi wa mikutano.
 Ataandaa na kugawa ajenda kwa wajumbe kabla ya mkutano .
 Atatakiwa kuhakikisha kwamba mihutasari ya vikao inanakiliwa na kufikishwa
ofisini ndani ya wiki moja baada ya mkutano .
 Atawajibika kutolea taarifa juu ya maendeleo yeyote ya mradi uliopo kwenye
kamati yake au kutolea maagizo juu ya kamati yake.
 Atawajibika kupanga malengo ya kamati.
 Mwenyekiti anaweza kumpa mjumbe yeyote jukumu lake lakini ahakikishe kwamba anafanya
ufuatiliaji.
MUUNDO WA ZAMANI WA UONGOZI
Board of Directors
Management Team
Adminstration
Manager: Juma M. Idd
Juma M. Idd (Acting Financial Controller)
Dr. Nur (Acting Bookkeeper)
Asha Hamisi Kindeka (Office Reception)
Health & Sanitation
Co-Chairs:
Dr. Zulfa Msami
Ismail Mbani
Education
Chair:
Ally Seif
Co Deputy Chairs:
Abdallah Mtangarah
Hassan Ahmad Alombile
Dawah
Chair:
Qassim Njonjoro
2015 MUUNDO WA UONGOZI
LIFT BODI YA WADHAMINI
 LIFT imeanzisha Bodi ya wadhamini inayohusisha watu wa4 ambao
hushughulikia masuala yote ya mali za LIFT vinavyohamishika na
visivyohamishika mfano Ardhi.
 Wanachama wa BODY OF TRUSTEES ni
a) SHEIKH MOHAMMED MUSHANGANI
b) ABDALLAH MAULID NAMKOLWA
c) MARIAM ALLY MANDUNDA
d) ALI ISMAIL NALAGA
MAFUNZO
NA
MAENDELEO
Lindi Islamic Foundation of Tanzania
MAFUNZO YA KAMATI
Lindi Islamic Foundation of Tanzania
 Uzingatiaji wa mda na upangaji wa vifaa.
 Msingi wa uhamasishaji na usimamizi wa vifaa.
 Kufuatilia na kusimamia bajeti ya kamati.
 Wazo lipi ni muhimu na nini kijumuishwe
 Nini maana ya pendekezo la mradi? Na mambo yapi ya
kujumuishwa.
 Faida ya kutoa ripoti, kusimamia na kufanya tathimini, Nini
maana yake?
TAARIFA YA KAMATI
TAARIFA YA KAMATI
 Malengo ya kamati.
 Shughuli zilizopata fedha na kufanyika .
 Shughuli zipi au malengo ambayo hayajapata fedha na
kufanyika.
 Changamoto.
 Mahitaji yanayohitajika ili kutimiza malengo.
TAARIFA YA MIRADI
 Elimu
 Afya
ELIMU
KAMATI YA ELIMU
Kamati ya elimu ni moja kati ya kamati za LIFT yenye
jukumu la kubuni, kutekeleza, kufuatilia na kufanya tathmini
ya miradi inaweza kuinua kiwango cha Elimu.
MALENGO YA KAMATI YA ELIMU
 Kufanya tathmini ya mahitaji ya shule za serikali na za kiislamu
 Kusaidia kamati ya Daawa katika kutangaza elimu ya kiislamu
Kusaidia kamati ya afya katika vijarida vitakavyohamasisha kuwa na afya njema
MRADI WA KAMATI 2015
1) UJENZI WA KITUO CHA ELIMU YA WATOTO WADOGO MCHINGA 1
KITUO CHA ELIMU YA WATOTO WADOGO MCHINGA 1
 Kwa mwaka 2015 kamati ya Elimu ya LIFT ilijiwekea kipaumbele cha
kusimamia mradi wa ujenzi wa kituo cha elimu kwa ajili ya watoto
wadogo huko Mchinga I
 Kituo hicho kinakusudia kuwalea watoto wadogo wapatao 5O (kwa
kuanzia) kutoka katika eneo la Mchinga na maeneo ya karibu
MALENGO YA KITUO CHA MCHINGA
 Kuwalea watoto katika malezi ya kiislamu
 Kuwapatia ajira wakazi wa lindi
 Kuwa na kituo cha kuhifadhisha quran tukufu
MALENGO……
Kuwaandaa watoto kwa ajli ya elimu ya msingi na Sekondari
Kuwa na kituo kwa ajili ya masomo ya ziada ya wanafunzi wa
msingi na sekondari
HATUA ZA KUKAMILIKA KWA MRADI
Kushughulikia upatikanaji wa ardhi
Kuimiliki ardhi kisheria
Kuunda TASK FORCE kwa ajili ya kusimamia uanzishwaji wa Mradi
KAZI /SHUGHULI ZILIZOFANYIKA
1) KUUNDA KAMATI YA WANAJAMII
Kwa kuwa mradi ni wa kijamii lift iliunda kamati ya wanajamii kutoka
katika maeneo mbalimbali ya Mchinga. Kila msikiti ulitoa wajumbe
wawili na idadi ya wajumbe ikiwa kumi. Kamati hii inashirikiana na
kamati ya elimu katika kuratibu mradi wa shule ya Mchinga 1
2) KUSAFISHA PORI
 Kamati ya elimu kwa kushirikiana na kamati ya jamii
zilihamasisha waislamu wa mchinga kusafisha pori
ambapo LIFT inatarajia kujenga shule ya watoto
3) KUMILIKI ARDHI KISHERIA
 LIFT imefanikiwa kupata hati za umilikiwa ardhi ya eneo ambalo
tunataka kujenga shule.
 Bado sharia za kuhalalisha ardhi na shughuli zitakazofanyika katika
eneo hilo zinaendelea.
4) KUAJIRI MTAALAMU WA MRADI
 Kutokana na ukubwa wa mradi lift ililazimika kuajiri mtaalamu wa
miradi ya kijamii ili kusimamia kazi ya mradi wa ujenzi wa kituo cha
elimu cha mchinga.
 Dada NURU ALLY mhitimu wa chuo kikuu cha SUA Morogoro fani
ya maendeleo ya vijijini ndio mtaalamu na msimamizi wa miradi ya
lift ikiwemo huu wa mchinga
MTAALAMU (SISTER NUR –MCHINGA)
5) KUSAFISHA ENEO
 Lift imedhamiria kutumia bulldozer ili kusafisha eneo na kutoa
visiki ili liwe tayari kwa ujenzi wa shule ya awali
CHANGAMOTO ZA MRADI
o Rasilimali watu kwa ajili ya kusimamia hatua za mradi
o Pesa za kutosha kufanikisha mradi
o Muda wa kusimamia mradi
EDUCATION
2. QURAN CONTEST
(MASHINDANO YA USOMAJI QURAN….
LIFT SECOND ANNUAL RAMADAN QURAN
RECITATION CONTEST
JULY 11, 2015
ILULU STADIUM
LINDI TANZANIA
JUZUU # Students
1 29
2 21
3 8
4 8
Zawadi zilihusisha Baiskeli, Radios, Saa, Mabegi yenye vifaa vya shule , mikeka ya
kuswalia (miswala) pamoja na vitabu vya Quran.
Mwenyekiti wa kamati ya Elimu aliyetoa jitihada kubwa sana katika Kuandaa tukio hili.
Wanafunzi wakisubiri….
Wageni…
Sheikh wa mkoa wa Lindi akitoa dua ya funguzi.
Ufunguzi wa sherehe LIFT
Jaji akifungua kwa kusoma quran.ation
Guest of Honor (center), Representative for Regional Commissioner (Deputy RAIS)
MC akiwaita wanafunzi kwa namba na wanafunzi walichagua bahasha yenye mistari ya
Quran...
……na wakakabidhi bahasha kwa majaji
Mwanafunzi akisoma Juzuu ya 4… hakika alikuwa mshindi wa kwanza katika kipengele
chake….
LIFT Chairman of the Board prepares for ifar (wakiandaa ftari )
Maandalizi ya iftar yakiendelea.
HEALTH AND SANITATION
KAMATI YA AFYA NA MAZINGIRA
 WAJUMBE WA KAMATI
1. DR ZULFA MSAMI MW/KIT
2. MR ISMAIL MBBANI MW/KITI MWENZA
3. DR HAMISI AJALI –KATIBU
4. MR MSWALA –MJUMBE
5. MR MAKOLELA –MJUMBE
6. BI SIWEMA SINANI-MJUMBE
7. BI RAYA - MJUMBE
MALENGO YA KAMATI
 Katika kipindi cha mwaka 2014/15 kamati ilikua na
malengo ya kuchunguza wanawake 300 saratani ya shingo
ya kizazi.
 Kufanya ufuatiliaji wa wanawake walio chunguzwa na
kukutwa na matatizo.
MAFANIKIO YA KAMATI
 Kamati iliweza kuandaa na kuanisha maeneo ya wanawake
wajiandikishe ili wafanyiwe uchunguzi wa saratani ya shingo ya
kizazi katika kipindi cha miezi mitatu 9oct – dec 2014)maeneo
hayo ambayo ni
Kitomanga,Mchinga,Kilangala,Mvuleni,Mipingo,Namkongo,Kingulu
ngudwa na Kilolabwani.
 Jumla ya wanawake 273 walijiandikisha.
 Januari 2015 kamati ikishirikiana na shirika lisilo la serikali
STAPPING TOGETHER lililopo marekani tulifanya uchunguzi wa
saratani ya chingo ya kizazi kwa wanawake 220 kati ya 224
waliosajiliwa,wanawake 2 walikutwa na dalili za awali za saratani na
wengine 35 walichukuliwa vipimo kwa uchunguzi zaidi.
MAFANIKIO YANAEND……….
 Wanawake 2 walionekana kuwa wanasaratani ya shingo ya kizazi. Kati yao 1
Walipata matibabu na mmoja alifariki.
 Mwezi wa nane 2015 kamati ilipanga muda wa kufuatilia wale
waliochunguzwa mwezi januari
 Sambamba na ufuatiliaji kamati ilishiriki katika maonyesho ya NANE NANE
Ngongo katika kuchunguza saratani ya shingo ya kizazi. Jumla ya wanawake
104 walichunguzwa na wanawake 17 kati ya 20 walikuwa wanafutiliwa kutoka
uchunguzi wa januari nao pia walichunguzwa.
 Kamati imeweza kushiriki kikamilifu katika siku ya usafi ya kitaifa katika
maazimisho ya siku ya uhuru 9 desemba 2015 kwa kununua vifaa vya usafi.
MATARAJIO
 Kamati inatarajia kuchunguza jamii ya lindi afya ya kinywa na meno ifikapo
2016 sasa ipo kwenye maandalizi ya eneo na wataalam.
CHANGAMOTO
 Kukosekana kwa mawasiliano kwa baadhi ya wanawake ambao walichunguzwa
ili wapate majibu yao ya uchunguzi wa wasaratani ya shingo ya kizazi.
 Ufinyu wa bajeti kwa Taasisi
 Wajumbe wa kamati kuwa na majukumu mengine nje ya taasisi.
.
.
DR. KENYA NUMAN FROM STEPPING TOGETHER AND DR. NUR FROM LIFT
UPON THE TEAM’S INITIAL ARRIVAL AT KITOMANGA HEALTH CENTER
THE STEPPING TOGETHER HOST (ZUWENA) AND DR. K. BINGHAM WAIT FOR
WELCOMING CEREMONY AT KITOMANGA
THE GUEST VOLUNTEERS DR. K. BINGHAM AND KERRI RN WITH THEIR HOME
HOST IN KITOMANGA
MP MHE SAID MTANDA WELCOMES GUESTS
WELCOMING CEREMONY
DR. ZULFA MSAMI (CO CHAIR OF LIFT HEALTH & SANITATION COMMITTEE)
WELCOMES GUESTS AND SUMMARIZES LIFT’S PROGRAMS.
AFTER OPENING CEREMONY, TOUR OF THE WARD WHERE THE CLINIC WOULD BEGIN
THE FOLLOWING DAY. THIS WAS AN EMPTY BUILDING A FEW WEEKS EARLIER.
AFTER SETUP OF THE CLINIC
DAY 1 OF CLINIC- PATIENTS AWAIT OUTSIDE
AFTER THE END OF THE FIRST DAY FOR SCREENING WOMEN,
TANZANIA AND AMERICAN HEALTH TEAM POSE FOR A PICTURE
DAY 2 OF SCREENING- PATIENTS ARE BEING REGISTERED
TRAINEE FROM MCHINGA DISPENSARY
NURSE FROM SOKOINE HOSPITAL (LINDI REGIONAL HOSPITAL) –
JOB WELL DONE!
NURSE FROM SOKOINE HOSPITAL (LINDI REGIONAL HOSPITAL)
WITH PATIENT –JOB WELL DONE!
SPECIAL CHAIR THE HONORABLE RIZIKI LULIDA VISITS CLINIC AND
TALKS WITH DR. KENYA
PATIENTS, HEALTH TEAM, POSE WITH MHE. RIZIKI LUDIDA
DR. HAMIS AJALI (LIFT) DR. KENYA NUMAN (STEPPING TOGETHER), AND
TRAINEE VERA (KITOMANGA) DISCUSS TREATMENT OPTIONS WITH PATIENT.
THE LIFT MEN BEHIND THE SUCCESS, ALL ARE MEMBERS OF LIFT HEALTH &
SANITATION COMMITTEE. THEY MADE SURE SUPPLIES AND PATIENTS WERE
TRANSPORTED, PATIENTS WERE REFERRED, PATIENTS WERE FED AND MUCH MORE.
PATIENT AFTER HER EXAM
DR. KENYA CONSULTS
GRANDMOTHER WITH HER ORPHANED GRANDSON ARRIVE FROM MTAPWA
ON MOTORCYCLE. SHE WAS FAMILIAR TO US AS LIFT PROVIDED INFANT
FORMULA MILK FOR THE BABY FOR ONE YEAR.
THE BUSIEST DAY OF THE CLINIC. 58 WOMEN SEEN ON DAY 4.
AT AGA KHAN HOSPITAL IN DAR ES SALAAM. THE PAP SMEAR KITS
ARE DELIVERED FOR PATHOLOGICAL TESTING.
MAKABIDHIANO YA VIFAA VYA USAFI KWA AJILI YA 09 DEC 2015
QURBANI/ UDHIYA PROGRAM
DHUL HIJJAH 1436 (2015)
EID UL ADHA
SEPTEMBER 24, 2015
All communities confirmed the carrying out if Eid Qurbani.
Note: some of the following pictures are vivid .
4. IFTAR RAMADAN PROGRAM
………………………………………………………………………………
Mapumziko ya Chai-15 dakika
FINANCIAL REPORT (TAARIFA YA FEDHA
2015 CASH-FLOW (TSH) AS OF DECEMBER 1, 2015
2014 Carry-Over 7,244,557
Petty Cash 12,000
2015 Donations 29,871,330.65
Total Revenue 37,127,887.65
YTD 2015 Expenditures
Bank Charges 191,000
Disbursements: 15,269,015.65
Total Expenditures 15,460,015.65
Cash on hand 21, 667,872
2015 BUDGET.
MIRADI AMBAYO HAIKUWEPO KWENYE BAJETI
1. EID ALHAJI
Tulipokea 31,189,363 TSH
Tulitumia -23,662,658 TSH
Ikabaki 7,526,705 TSH
2. HEALTH SCREENING NANENANE
3. EDUCATION AND ZAKAT
 Incoming: 22,332,204*
 Expenditures:
 Educational Assistance (1,958,280
 Mchinga Project (1,303,000)
 Net Proceeds: 19,070,924
*Includes proceeds from Eid Qurbani Program
4. QURAN CONTEST
 Incoming: 3,401,000
 Expenditures: (2,700,000)
 Net Proceeds: 701,000
5. IFTAR
 Incoming: 750,000
 Expenditures: (750,000)
 Net Proceeds: 0
PLEDGES FROM MEMBERS
 Promises made: 1,230,000 tsh per year
 Collected: Less than 100,000
 Net Proceeds: ???????????????
Utiaji sahihi wa
wanachama wa kujitolea
kwenye mikutano
Lindi Islamic Foundation of Tanzania
AHADI ZA MICHANGO YA
KUCHANGIA KWENYE
KAMATI
Lindi Islamic Foundation of Tanzania
MAJADILIANO
Lindi Islamic Foundation of Tanzania

Más contenido relacionado

Destacado

Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesFigen232
 
The ideal target audience
The ideal target audienceThe ideal target audience
The ideal target audienceFigen232
 
Props & costumes
Props & costumesProps & costumes
Props & costumesFigen232
 
Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesFigen232
 
Vengeance opening sequence2
Vengeance opening sequence2Vengeance opening sequence2
Vengeance opening sequence2Figen232
 
Vengeance opening sequence
Vengeance opening sequenceVengeance opening sequence
Vengeance opening sequenceFigen232
 
Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesFigen232
 
Q4) how did you use media terminologies v1
Q4) how did you use media terminologies v1Q4) how did you use media terminologies v1
Q4) how did you use media terminologies v1Figen232
 
Photoshop technical skills
Photoshop technical skillsPhotoshop technical skills
Photoshop technical skillsFigen232
 

Destacado (9)

Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologies
 
The ideal target audience
The ideal target audienceThe ideal target audience
The ideal target audience
 
Props & costumes
Props & costumesProps & costumes
Props & costumes
 
Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologies
 
Vengeance opening sequence2
Vengeance opening sequence2Vengeance opening sequence2
Vengeance opening sequence2
 
Vengeance opening sequence
Vengeance opening sequenceVengeance opening sequence
Vengeance opening sequence
 
Q4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologiesQ4) how did you use media terminologies
Q4) how did you use media terminologies
 
Q4) how did you use media terminologies v1
Q4) how did you use media terminologies v1Q4) how did you use media terminologies v1
Q4) how did you use media terminologies v1
 
Photoshop technical skills
Photoshop technical skillsPhotoshop technical skills
Photoshop technical skills
 

LIFT third annual meeting - 20 December 2015

  • 1. LINDI ISLAMIC FOUNDATION OF TANZANIA MSINGI WA ASASI ZA KIISLAM LINDI TANZANIA MKUTANO MKUU WA TATU WA MWAKA 20/12/2015.
  • 2. AJENDA 2:30 – 3:00 Asubuhi Usajiri 3:00 – 3:10 Asubuhi Dua ya ufunguzi 3:10 – 3:20 Asubuhi Maelezo ya ufunguzi na makaribisho 3:30 – 3:45 Asubuhi Nini maana ya LIFT 3:45 – 3:50 Asubuhi Mabadiliko ya mwaka 2015  Muundo wa asasi  Mafunzo 3:50 – 4:30 Asubuhi Taarifa za kamati 4:30 – 4:45 Asubuhi Chai 4:45 – 5:00 Asubuhi Taarifa ya fedha na Matangazo maalum. 5:05 - 5:15 Asubuhi Ahadi za Michango 5:20 - 5:30 Asubuhi Majadiliano 6:00 Mchana Dua ya ufunguzi wa kikao
  • 4. NINI MAANA Y A LIFT?
  • 7. DIRA NA MAADILI YETU LIFT inalenga kuwa shirika suna za Mtume Mohamad (S. W. A) sikivu, wazi, na ambalo hutoa kwa wakati na kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya, elimu, chakula na maji kwa waislamu wote, wanaoishi ndani ya mkoa wa Lindi-Tanzania. LIFT inaamini kuwa kila wafadhili wachangiaji na mchangiaji lazima aheshimiwe, na wote ni wenye thamani kwa kila mmoja. LIFT itazingatia viwango vya juu vya maadili ya quran na
  • 8. MALENGO YETU 1. Kutoa msaada wa dharura wa chakula kwa wazee, walemavu, na wengine wanaoishi katika mazingira magumu ambao ni wakazi wa mkoa wa Lindi. 2. Kusaidia jamii katika kuanzisha huduma za afya stahili na salama. 3. Kuwasaidia watoto kupata elimu bora za dini ya kiislamu na kidunia 4. Kusaidia jamii katika kupata maji ya bomba na endelevu 5. Kusaidia jamii katika kujenga miundombinu na kuboresha usafi. 6. Kukuza mazoea ya usafi salama 7. Kuchangia kwenye taasisi za kiislamu, misikiti kwa ajili ya elimu ya kiislamu, misingi ya Quran, suna na hadithi halisi.
  • 10. WAJIBU WA MJUMBE WA KAMATI  Kuhudhuria vikao vya kamati .  Kujitolea angalau masaa 4 kwa mwezi kwa ajili ya shughuli za LIFT.  Kusaidiana na mwenyekiti na katibu kwenye utekelezaji wa majukumu yao.  Kusimamia utekelezaji wa agizo lolote linalokuwa limetolewa na mwenyekiti wa kamati.  Kupitia taarifa zozote zinazohusiana na mikutano ya kamati.  Kuandaa kuchangia na kuzungumzia mambo yote yanayohusu malengo ya kamati kenye kikao.  Kupiga kura inapobidi jambo lolote linalohusu kamati.  Kufuata sera za LIFT.
  • 11. WAJIBU WA MWENYEKITI  Mwenyekiti atakuwa Meneja wa kamati.  Atawajibika kupanga ratiba za mkutano.  Atawajibika kupanga ukumbi wa mikutano.  Ataandaa na kugawa ajenda kwa wajumbe kabla ya mkutano .  Atatakiwa kuhakikisha kwamba mihutasari ya vikao inanakiliwa na kufikishwa ofisini ndani ya wiki moja baada ya mkutano .  Atawajibika kutolea taarifa juu ya maendeleo yeyote ya mradi uliopo kwenye kamati yake au kutolea maagizo juu ya kamati yake.  Atawajibika kupanga malengo ya kamati.  Mwenyekiti anaweza kumpa mjumbe yeyote jukumu lake lakini ahakikishe kwamba anafanya ufuatiliaji.
  • 12. MUUNDO WA ZAMANI WA UONGOZI Board of Directors Management Team Adminstration Manager: Juma M. Idd Juma M. Idd (Acting Financial Controller) Dr. Nur (Acting Bookkeeper) Asha Hamisi Kindeka (Office Reception) Health & Sanitation Co-Chairs: Dr. Zulfa Msami Ismail Mbani Education Chair: Ally Seif Co Deputy Chairs: Abdallah Mtangarah Hassan Ahmad Alombile Dawah Chair: Qassim Njonjoro
  • 13. 2015 MUUNDO WA UONGOZI
  • 14. LIFT BODI YA WADHAMINI  LIFT imeanzisha Bodi ya wadhamini inayohusisha watu wa4 ambao hushughulikia masuala yote ya mali za LIFT vinavyohamishika na visivyohamishika mfano Ardhi.  Wanachama wa BODY OF TRUSTEES ni a) SHEIKH MOHAMMED MUSHANGANI b) ABDALLAH MAULID NAMKOLWA c) MARIAM ALLY MANDUNDA d) ALI ISMAIL NALAGA
  • 16. MAFUNZO YA KAMATI Lindi Islamic Foundation of Tanzania  Uzingatiaji wa mda na upangaji wa vifaa.  Msingi wa uhamasishaji na usimamizi wa vifaa.  Kufuatilia na kusimamia bajeti ya kamati.  Wazo lipi ni muhimu na nini kijumuishwe  Nini maana ya pendekezo la mradi? Na mambo yapi ya kujumuishwa.  Faida ya kutoa ripoti, kusimamia na kufanya tathimini, Nini maana yake?
  • 18. TAARIFA YA KAMATI  Malengo ya kamati.  Shughuli zilizopata fedha na kufanyika .  Shughuli zipi au malengo ambayo hayajapata fedha na kufanyika.  Changamoto.  Mahitaji yanayohitajika ili kutimiza malengo.
  • 19. TAARIFA YA MIRADI  Elimu  Afya
  • 20. ELIMU
  • 21. KAMATI YA ELIMU Kamati ya elimu ni moja kati ya kamati za LIFT yenye jukumu la kubuni, kutekeleza, kufuatilia na kufanya tathmini ya miradi inaweza kuinua kiwango cha Elimu.
  • 22. MALENGO YA KAMATI YA ELIMU  Kufanya tathmini ya mahitaji ya shule za serikali na za kiislamu  Kusaidia kamati ya Daawa katika kutangaza elimu ya kiislamu Kusaidia kamati ya afya katika vijarida vitakavyohamasisha kuwa na afya njema
  • 23. MRADI WA KAMATI 2015 1) UJENZI WA KITUO CHA ELIMU YA WATOTO WADOGO MCHINGA 1
  • 24. KITUO CHA ELIMU YA WATOTO WADOGO MCHINGA 1  Kwa mwaka 2015 kamati ya Elimu ya LIFT ilijiwekea kipaumbele cha kusimamia mradi wa ujenzi wa kituo cha elimu kwa ajili ya watoto wadogo huko Mchinga I  Kituo hicho kinakusudia kuwalea watoto wadogo wapatao 5O (kwa kuanzia) kutoka katika eneo la Mchinga na maeneo ya karibu
  • 25. MALENGO YA KITUO CHA MCHINGA  Kuwalea watoto katika malezi ya kiislamu  Kuwapatia ajira wakazi wa lindi  Kuwa na kituo cha kuhifadhisha quran tukufu
  • 26. MALENGO…… Kuwaandaa watoto kwa ajli ya elimu ya msingi na Sekondari Kuwa na kituo kwa ajili ya masomo ya ziada ya wanafunzi wa msingi na sekondari
  • 27. HATUA ZA KUKAMILIKA KWA MRADI Kushughulikia upatikanaji wa ardhi Kuimiliki ardhi kisheria Kuunda TASK FORCE kwa ajili ya kusimamia uanzishwaji wa Mradi
  • 28. KAZI /SHUGHULI ZILIZOFANYIKA 1) KUUNDA KAMATI YA WANAJAMII Kwa kuwa mradi ni wa kijamii lift iliunda kamati ya wanajamii kutoka katika maeneo mbalimbali ya Mchinga. Kila msikiti ulitoa wajumbe wawili na idadi ya wajumbe ikiwa kumi. Kamati hii inashirikiana na kamati ya elimu katika kuratibu mradi wa shule ya Mchinga 1
  • 29. 2) KUSAFISHA PORI  Kamati ya elimu kwa kushirikiana na kamati ya jamii zilihamasisha waislamu wa mchinga kusafisha pori ambapo LIFT inatarajia kujenga shule ya watoto
  • 30.
  • 31.
  • 32.
  • 33.
  • 34.
  • 35.
  • 36.
  • 37. 3) KUMILIKI ARDHI KISHERIA  LIFT imefanikiwa kupata hati za umilikiwa ardhi ya eneo ambalo tunataka kujenga shule.  Bado sharia za kuhalalisha ardhi na shughuli zitakazofanyika katika eneo hilo zinaendelea.
  • 38. 4) KUAJIRI MTAALAMU WA MRADI  Kutokana na ukubwa wa mradi lift ililazimika kuajiri mtaalamu wa miradi ya kijamii ili kusimamia kazi ya mradi wa ujenzi wa kituo cha elimu cha mchinga.  Dada NURU ALLY mhitimu wa chuo kikuu cha SUA Morogoro fani ya maendeleo ya vijijini ndio mtaalamu na msimamizi wa miradi ya lift ikiwemo huu wa mchinga
  • 39. MTAALAMU (SISTER NUR –MCHINGA)
  • 40. 5) KUSAFISHA ENEO  Lift imedhamiria kutumia bulldozer ili kusafisha eneo na kutoa visiki ili liwe tayari kwa ujenzi wa shule ya awali
  • 41. CHANGAMOTO ZA MRADI o Rasilimali watu kwa ajili ya kusimamia hatua za mradi o Pesa za kutosha kufanikisha mradi o Muda wa kusimamia mradi
  • 43. LIFT SECOND ANNUAL RAMADAN QURAN RECITATION CONTEST JULY 11, 2015 ILULU STADIUM LINDI TANZANIA
  • 44. JUZUU # Students 1 29 2 21 3 8 4 8
  • 45. Zawadi zilihusisha Baiskeli, Radios, Saa, Mabegi yenye vifaa vya shule , mikeka ya kuswalia (miswala) pamoja na vitabu vya Quran.
  • 46. Mwenyekiti wa kamati ya Elimu aliyetoa jitihada kubwa sana katika Kuandaa tukio hili.
  • 49. Sheikh wa mkoa wa Lindi akitoa dua ya funguzi.
  • 51. Jaji akifungua kwa kusoma quran.ation
  • 52. Guest of Honor (center), Representative for Regional Commissioner (Deputy RAIS)
  • 53. MC akiwaita wanafunzi kwa namba na wanafunzi walichagua bahasha yenye mistari ya Quran...
  • 55. Mwanafunzi akisoma Juzuu ya 4… hakika alikuwa mshindi wa kwanza katika kipengele chake….
  • 56. LIFT Chairman of the Board prepares for ifar (wakiandaa ftari )
  • 57. Maandalizi ya iftar yakiendelea.
  • 59. KAMATI YA AFYA NA MAZINGIRA  WAJUMBE WA KAMATI 1. DR ZULFA MSAMI MW/KIT 2. MR ISMAIL MBBANI MW/KITI MWENZA 3. DR HAMISI AJALI –KATIBU 4. MR MSWALA –MJUMBE 5. MR MAKOLELA –MJUMBE 6. BI SIWEMA SINANI-MJUMBE 7. BI RAYA - MJUMBE
  • 60. MALENGO YA KAMATI  Katika kipindi cha mwaka 2014/15 kamati ilikua na malengo ya kuchunguza wanawake 300 saratani ya shingo ya kizazi.  Kufanya ufuatiliaji wa wanawake walio chunguzwa na kukutwa na matatizo.
  • 61. MAFANIKIO YA KAMATI  Kamati iliweza kuandaa na kuanisha maeneo ya wanawake wajiandikishe ili wafanyiwe uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi katika kipindi cha miezi mitatu 9oct – dec 2014)maeneo hayo ambayo ni Kitomanga,Mchinga,Kilangala,Mvuleni,Mipingo,Namkongo,Kingulu ngudwa na Kilolabwani.  Jumla ya wanawake 273 walijiandikisha.  Januari 2015 kamati ikishirikiana na shirika lisilo la serikali STAPPING TOGETHER lililopo marekani tulifanya uchunguzi wa saratani ya chingo ya kizazi kwa wanawake 220 kati ya 224 waliosajiliwa,wanawake 2 walikutwa na dalili za awali za saratani na wengine 35 walichukuliwa vipimo kwa uchunguzi zaidi.
  • 62. MAFANIKIO YANAEND……….  Wanawake 2 walionekana kuwa wanasaratani ya shingo ya kizazi. Kati yao 1 Walipata matibabu na mmoja alifariki.  Mwezi wa nane 2015 kamati ilipanga muda wa kufuatilia wale waliochunguzwa mwezi januari  Sambamba na ufuatiliaji kamati ilishiriki katika maonyesho ya NANE NANE Ngongo katika kuchunguza saratani ya shingo ya kizazi. Jumla ya wanawake 104 walichunguzwa na wanawake 17 kati ya 20 walikuwa wanafutiliwa kutoka uchunguzi wa januari nao pia walichunguzwa.  Kamati imeweza kushiriki kikamilifu katika siku ya usafi ya kitaifa katika maazimisho ya siku ya uhuru 9 desemba 2015 kwa kununua vifaa vya usafi.
  • 63. MATARAJIO  Kamati inatarajia kuchunguza jamii ya lindi afya ya kinywa na meno ifikapo 2016 sasa ipo kwenye maandalizi ya eneo na wataalam.
  • 64. CHANGAMOTO  Kukosekana kwa mawasiliano kwa baadhi ya wanawake ambao walichunguzwa ili wapate majibu yao ya uchunguzi wa wasaratani ya shingo ya kizazi.  Ufinyu wa bajeti kwa Taasisi  Wajumbe wa kamati kuwa na majukumu mengine nje ya taasisi.
  • 65. .
  • 66. . DR. KENYA NUMAN FROM STEPPING TOGETHER AND DR. NUR FROM LIFT UPON THE TEAM’S INITIAL ARRIVAL AT KITOMANGA HEALTH CENTER
  • 67. THE STEPPING TOGETHER HOST (ZUWENA) AND DR. K. BINGHAM WAIT FOR WELCOMING CEREMONY AT KITOMANGA
  • 68. THE GUEST VOLUNTEERS DR. K. BINGHAM AND KERRI RN WITH THEIR HOME HOST IN KITOMANGA
  • 69. MP MHE SAID MTANDA WELCOMES GUESTS
  • 71. DR. ZULFA MSAMI (CO CHAIR OF LIFT HEALTH & SANITATION COMMITTEE) WELCOMES GUESTS AND SUMMARIZES LIFT’S PROGRAMS.
  • 72. AFTER OPENING CEREMONY, TOUR OF THE WARD WHERE THE CLINIC WOULD BEGIN THE FOLLOWING DAY. THIS WAS AN EMPTY BUILDING A FEW WEEKS EARLIER.
  • 73. AFTER SETUP OF THE CLINIC
  • 74. DAY 1 OF CLINIC- PATIENTS AWAIT OUTSIDE
  • 75. AFTER THE END OF THE FIRST DAY FOR SCREENING WOMEN, TANZANIA AND AMERICAN HEALTH TEAM POSE FOR A PICTURE
  • 76. DAY 2 OF SCREENING- PATIENTS ARE BEING REGISTERED
  • 77. TRAINEE FROM MCHINGA DISPENSARY
  • 78. NURSE FROM SOKOINE HOSPITAL (LINDI REGIONAL HOSPITAL) – JOB WELL DONE!
  • 79. NURSE FROM SOKOINE HOSPITAL (LINDI REGIONAL HOSPITAL) WITH PATIENT –JOB WELL DONE!
  • 80. SPECIAL CHAIR THE HONORABLE RIZIKI LULIDA VISITS CLINIC AND TALKS WITH DR. KENYA
  • 81. PATIENTS, HEALTH TEAM, POSE WITH MHE. RIZIKI LUDIDA
  • 82. DR. HAMIS AJALI (LIFT) DR. KENYA NUMAN (STEPPING TOGETHER), AND TRAINEE VERA (KITOMANGA) DISCUSS TREATMENT OPTIONS WITH PATIENT.
  • 83. THE LIFT MEN BEHIND THE SUCCESS, ALL ARE MEMBERS OF LIFT HEALTH & SANITATION COMMITTEE. THEY MADE SURE SUPPLIES AND PATIENTS WERE TRANSPORTED, PATIENTS WERE REFERRED, PATIENTS WERE FED AND MUCH MORE.
  • 86. GRANDMOTHER WITH HER ORPHANED GRANDSON ARRIVE FROM MTAPWA ON MOTORCYCLE. SHE WAS FAMILIAR TO US AS LIFT PROVIDED INFANT FORMULA MILK FOR THE BABY FOR ONE YEAR.
  • 87. THE BUSIEST DAY OF THE CLINIC. 58 WOMEN SEEN ON DAY 4.
  • 88. AT AGA KHAN HOSPITAL IN DAR ES SALAAM. THE PAP SMEAR KITS ARE DELIVERED FOR PATHOLOGICAL TESTING.
  • 89.
  • 90.
  • 91.
  • 92.
  • 93.
  • 94.
  • 95.
  • 96.
  • 97.
  • 98.
  • 99.
  • 100.
  • 101. MAKABIDHIANO YA VIFAA VYA USAFI KWA AJILI YA 09 DEC 2015
  • 102.
  • 103.
  • 104.
  • 105.
  • 106.
  • 107. QURBANI/ UDHIYA PROGRAM DHUL HIJJAH 1436 (2015)
  • 108.
  • 109.
  • 110.
  • 111.
  • 112.
  • 113.
  • 114.
  • 115.
  • 116.
  • 117.
  • 118.
  • 119.
  • 120.
  • 121.
  • 122.
  • 123.
  • 124.
  • 125.
  • 126.
  • 127.
  • 128.
  • 129.
  • 130.
  • 131.
  • 132.
  • 133.
  • 134.
  • 135.
  • 136.
  • 137.
  • 138.
  • 139.
  • 140.
  • 141.
  • 142.
  • 143.
  • 144.
  • 145.
  • 146.
  • 147.
  • 148.
  • 149.
  • 150.
  • 151.
  • 152.
  • 153.
  • 154.
  • 155.
  • 156.
  • 157.
  • 158.
  • 159.
  • 160.
  • 161.
  • 162.
  • 163.
  • 164.
  • 165.
  • 166.
  • 167.
  • 168.
  • 169.
  • 170. EID UL ADHA SEPTEMBER 24, 2015 All communities confirmed the carrying out if Eid Qurbani. Note: some of the following pictures are vivid .
  • 171.
  • 172.
  • 173.
  • 174.
  • 175.
  • 176.
  • 177.
  • 178.
  • 179.
  • 180.
  • 181.
  • 182.
  • 183.
  • 184.
  • 185.
  • 186.
  • 187.
  • 188.
  • 189.
  • 190.
  • 191.
  • 192.
  • 193.
  • 194.
  • 195.
  • 196.
  • 197.
  • 198.
  • 199.
  • 200.
  • 201.
  • 202.
  • 203.
  • 204.
  • 205.
  • 206.
  • 207.
  • 208.
  • 209.
  • 210.
  • 211.
  • 212.
  • 213.
  • 214.
  • 215.
  • 216.
  • 217.
  • 218.
  • 219. 4. IFTAR RAMADAN PROGRAM
  • 220.
  • 221.
  • 222.
  • 223.
  • 224.
  • 225.
  • 226.
  • 227.
  • 228.
  • 229.
  • 230.
  • 231.
  • 232.
  • 233.
  • 236. 2015 CASH-FLOW (TSH) AS OF DECEMBER 1, 2015 2014 Carry-Over 7,244,557 Petty Cash 12,000 2015 Donations 29,871,330.65 Total Revenue 37,127,887.65 YTD 2015 Expenditures Bank Charges 191,000 Disbursements: 15,269,015.65 Total Expenditures 15,460,015.65 Cash on hand 21, 667,872
  • 238. MIRADI AMBAYO HAIKUWEPO KWENYE BAJETI 1. EID ALHAJI Tulipokea 31,189,363 TSH Tulitumia -23,662,658 TSH Ikabaki 7,526,705 TSH
  • 239. 2. HEALTH SCREENING NANENANE
  • 240. 3. EDUCATION AND ZAKAT  Incoming: 22,332,204*  Expenditures:  Educational Assistance (1,958,280  Mchinga Project (1,303,000)  Net Proceeds: 19,070,924 *Includes proceeds from Eid Qurbani Program
  • 241. 4. QURAN CONTEST  Incoming: 3,401,000  Expenditures: (2,700,000)  Net Proceeds: 701,000
  • 242. 5. IFTAR  Incoming: 750,000  Expenditures: (750,000)  Net Proceeds: 0
  • 243. PLEDGES FROM MEMBERS  Promises made: 1,230,000 tsh per year  Collected: Less than 100,000  Net Proceeds: ???????????????
  • 244. Utiaji sahihi wa wanachama wa kujitolea kwenye mikutano Lindi Islamic Foundation of Tanzania
  • 245. AHADI ZA MICHANGO YA KUCHANGIA KWENYE KAMATI Lindi Islamic Foundation of Tanzania

Notas del editor

  1. AHADI
  2. DISCUSSION