SlideShare una empresa de Scribd logo
1 de 5
Descargar para leer sin conexión
 MKIRSTO  NA  UCHUMI. 

 

Utangulizi

Mkristo ni nani? 

Mkristo  ni  mtu  aliyemwamini  Yesu  Kristo  na  kumpokea  au  kumfanya  Bwana  na  Mwokozi  wa 
maisha  yake  (Warumi  10:9‐10).  Haitoshi  tu  kusema,  ‘Mkristo  ni  mtu  aliyemwamini  Yesu’, 
kwasababu  Biblia  inasema  ‘hata  shetani  naye  anaamini  na  kutetemeka  pia’  lakini  si  mkristo 
(Yakobo 2:19) 

Uchumi ni nini? 

Uchumi  ni  Maarifa  ya  namna  ya  kutumia  rasilimali  (resources)  zilizopo  au  chache  (scarce)  ili 
kukutana na mahitaji na matakwa mengi (needs and wants) katika maisha ya mtu/watu. 

Ni mapenzi ya Mungu tuyafurahie maisha yetu aliyotupa yeyé hapa duniani kama anavyosema
katika kiyabu cha Isaya 1:19 ‘mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi.’ Na kila kitu unachohitaji
kwa ajili ya maisha mazuri ya utoshelevu, kipo hapa hapa ulipo.


Rasilimali zote tunazozihitaji kwa ajili ya Maisha mazuri ya Baraka, tunazo hapa hapa. Lakini
wewe kama Mkristo, hautaweza kuyafurahia maisha aliyokuandikia Mungu, uyaishi hapa duniani,
kama hutajua namna/jinsi/mbinu/kanuni za ki-Mungu za kufanikiwa kimaisha ili kukutana na
mahitaji yako na matakwa yako ya kimaisha.


Tujifunza siri na kanuni za kufanikiwa kiuchumi kwa maisha ya tajiri mmoja, aliyeandikwa katika
Biblia, na jinsi alivyofanikiwa sana kimaisha na kiuchumi, japo alianza maisha kwa shida na taabu.
Mtu huyu tajiri anaitwa Yakobo. Habari hii utaipata katika kitabu cha Mwanzo 28:1-5; 29: 13-30;
30:25-43; 31:1-3; 32:1-18


Kwa ufupi ni kwamba:
Yakobo alipomkimbia ndugu yake Esau, alifika kwa mjomba Labani akiwa na fimbo tu, lakini baada 
ya  kukaa  huko  kwa  muda,  alirudi  katika  nchi  ya  Baba  zake  akiwa  tajiri  mkubwa  mwenye 
wafanyakazi 1,200 (Matuo mawili = Makundi mawili ya watu 600)  Soma Mwanzo 32:9‐12. Fikiri 
mwenyewe,    mtu  mwenye  wafanyakazi  1,200  alikuwa  ana  wanyama  wangapi?  Thamanisha  mali 
zake kwa fedha ya sasa.  



                                                    1 

 
Utakapokwenda kuisoma habari hii, utaona jinsi Yakobo alivyokuwa tajiri, kwa maana alikuwa na 
uwezo  wa  kutoa  zawadi  kwa  mtu,  kiasi  cha  punda  200,  farasi  200,  ngamia  200,  ng’ombe  200, 
kondoo  200  na  mbuzi  200.  Utajiri  huu  kwa  lugha  ya  sasa;  Punda  200  (kiuchumi,  hii  inakadiriwa 
kuwa ni sawa na magari madogo ya mizigo (pickup) 16; yaani punda 12 wanaweza kubeba mzigo 
wa pickup 1). Kondoo 200 ni sawa na maduka 4 ya nguo, ngamia 200 ni sawa na malori madogo ya 
mizigo 16, farasi 200 ni sawa na pikipiki 50. 

Unaweza kuona jinsi Yakobo wa Isaka alivyokuwa tajiri. Mtu anayeweza kukupa zawadi ya pikipiki 
50,  maduka  4  ya  nguo,  malori  madogo  16  na  magari  madogo  ya  mizigo  (pickup)  16;  yeyé 
anabakiwa  na  kiasi  gani  cha  utajiri?  Na  kama  alianza  akiwa  mikono  mitupu,  alitumia  njia  gani 
kufikia  katika  mafanikio  hayo  ya  kiuchumi?  Hata  mimi  nataka  kujua.  Utashangaa  kwamba,  Biblia 
inafundisha uchumi kiasi hiki. 

KANUNI ZA KIBIBLIA ZA UCHUMI MZURI 

    1. Maono ‐ Kuona Fursa za kiuchumi 
        Mafanikio  hayaji  kwa  bahati  mbaya  au  nzuri,  bali  yanapangwa.  Ukiona  mtu  amefanikiwa 
        kiuchumi,  ujue  aliona  kwanza  fursa  hiyo  na  akaichuchumilia  na  kuifuatilia  mpaka 
        akafanikiwa.  Hivyo  muombe  Mungu  akupe  kuziona  fursa  zilizopo.  Tafuta  kuona  mahitaji 
        mbalimbali ya jamii, huwezi kukosa kuona fursa kadhaa za kiuchumi.  
         
        Utakapokwenda  kusoma  habari  hizi,  utagundua  kwamba,  mjomba  Labani  alikuwa  tajiri 
        mwenye shughuli mbalimbali na wafanyakazi wengi sana. Kwa muda mfupi ambao Yakobo 
        alikaa kwa mjomba wake, aligundua kwamba, ataweza kufanikiwa kwa kujishughulisha na 
        kazi  mojawapo  za  mjomba,  hivyo  akachagua  kujikita  katika  mifugo  ya  mjomba  Labani. 
        Mwanzo 29: 15‐20.  
         
        Mafanikio hayaji kwa bahati  mbaya au  nzuri, bali yanapangwa. Lazima uwe na uwezo wa 
        kuona  fursa  za  kiuchumi  na  kujitosa  humo  baada  ya  kufanya  upembuzi  yakinifu.  Ukiona 
        mtu amefanikiwa kiuchumi, ujue aliona kwanza fursa hiyo na akaichuchumilia na kuifuatilia 
        mpaka  akafanikiwa.  Soma  Mwanzo  21:14‐19  na  Waefeso  1:15‐19  utaona  umuhimu  wa 
        kuwa  na  macho  yanayoweza  kuona  vitu  vilivyojificha.  Hivyo  muombe  Mungu  akupe 
        kuziona  fursa  zilizopo.  Tafuta  kuona  mahitaji  mbalimbali  ya  jamii,  huwezi  kukosa  kuona 
        fursa kadhaa za kiuchumi.  
                                                     2 

 
2. Malengo mahususi – Kujua kwa hakika unataka kufika wapi 
       Alijua alichokuwa anataka na alikaza uso kutoyumbishwa mapaka apate anachotaka. Hii ni 
       tabia ya kila mjasiliamali aliyefanikiwa. Lazima uwe ‘focused’ usiyumbishwe. Utaiona tabia 
       hii ya Yakobo kwa jinsi alivyojaribiwa katika swala la kupata mke aliyemtaka. Alijua anataka 
       mke, na sio bora mke. 
        
       Mjomba Labani alikuwa na mabinti wawili, Lea na Raheli. Aliambiwa kama anataka kumuoa 
       Raheli, atoe mahari ya kufanya kazi kwa miaka 7. Baada ya maiaka 7 akapewa Lea badala 
       ya Raheli. Kwa lugha rahisi, alitapeliwa au alizulumiwa. Akaambiwa, kama vado anamtaka 
       Raheli, afanye kazi tena kwa miaka 7 ndipo atapewa Raheli.  
        
       Kama  Yakobo  angekuwa  anataka  bora  mke,  angeridhika  na  Lea,  lakini  kwakuwa  alikuwa 
       anamtaka  Rachel,  akalenga  ‘kutokupumzika’  mpaka  ampate  Raheli,  bila  kuyumbishwa. 
       Akaapinda  mgongo  tena  kwa  miaka  7  ili  tu  kuyafikia  malengo  yake,  na  akampata  mke 
       aliyemtaaka, Raheli !!!    Mwa 29:16‐18. 
        
       Ni muhimu sana kwa mtu kuwa na makusudio ya moyo (Malengo). 
           •   Malengo hufungulia nguvu za Mungu (Msaada wa Mungu)  
               ‘Nawe  utakusudia  neno,  nalo  litathibitika  kwako;  na  mwanga  utaziangazia  njia 
               zako’ (Ayubu 22:28) 
           •   Malengo hukupa nidhamu ya kimaisha (Descipline)  
               ‘Pasipo  maono,  watu  huacha  kujizuia  (yaani  hukosa  nidhamu,  au  msimamo  ‐ 
               huyumba‐yumba)   (Mith 29:18). 
        
       Yeremia  1:5‐10;  Mungu  alimtenga  Yeremia  kuwa  Nabii  tangu  tumboni  mwa  mamaye,  Je 
       wewe ulitengwa uwe nani? Tafuta kujua mpango wa Mungu kwako. Usipopatia wito wako, 
       kuna  hatari  ya  kutofanikiwa  katika  baadhi  ya  vitu  unavyohangaika  kuvifaya.  Mungu 
       anabariki  kazi  zake,  si  kila  kazi.  Ni  muhimu  uutafuta  uso  wa  Mungu  ili  ujue  mpango  wa 
       Mungu juu ya maisha yako.  Yeremia 29:11‐13,  Zaburi 32:8 
        
        
        
                                                    3 

 
3. Mipango Mizuri – Kuwa na njia za kukufikisha katika malengo yako 
       Mwanzo  30:25‐36;  Ili  kufikia  mafanikio  na  maisha  mazuri,  mtu  wa  Mungu  si  tu  kwamba 
       anahitaji  kuwa  na  maono  na  malengo  tu,  bali  pia  anahitaji  kuwa  na  mipango  mizuri  ya 
       kumfikisha  katika  maono  na  malengo  yake.  Jiulize,  ni  kwa  njia  gani  nitaweza  kufikia  kule 
       ninakotamani kufika? Hizo njia utakazopata, ndio tunaita mipango.  
        
       Katika  habari  hii  ya  Yakobo,  unaona  anapanga  kuwachukua  wanyama  wa  mjomba  na 
       kwenda nao umbali wa siku tatu (3) na kukita kambi ya mifugo huko. Na utaona anapanga 
       kukaa huko kwa miaka mitatu (3). Hizi namba unazoziona hapa, ni mipango madhubuti. N 
       mawazo  ya  mtu  aliyefanya  uchunguzi  wa  eneo  zuri  la  kuweka  kambi  ya  mifugo  na  ni 
       mawazo  ya  mtu  aliyepiga  mahesabu  kuona,  ni  baada  ya  muda  gani  atakuwa  ameweza 
       kutengeneza faida. 
        
       Mipango  mizuri  itazaa  matokeo  mazuri.  Mipango  mibaya  itazaa  matokeo  mabaya. 
       Kwahiyo,  tafuta  namna  ya  kutengeneza  mipango  mizuri,  ikibidi  tumia  wataalam  wa 
       mipango.  Fanya  Fisibility  study    na  tengeneza  a  good  Business  Plan.  Yakobo  alijitenga 
       mwendo wa siku 3 na akakaa nyikani muda wa miaka mitatu. Huu ni Mpango wa Shughuli 
       (This  is  a    business  plan  au  activity  plan).  Baada  ya  miaka  kadhaa,  Yakobo  alikuwa  mtu 
       mwenye  mafanikio  na  utajiri  mkubwa,  leo  tungemuita  ‘Milionea’  mkubwa.  Kumbuka; 
       Mipango mizuri itazaa matokeo mazuri. Mipango mibaya itazaa matokeo mabaya. 
        
       Itaendelea toleo líjalo 
        
       Mafundisho mengine ya mwalimu, yanapatikana katika duka la vitabu la Kanisa Kuu, Azania 
       Front.  Pia  vipindi  vya  mafundisho  ya  mwalimu  Mgisa,  vinarushwa  katka  Radio  ya  Kanisa, 
       Upendo FM Radio, 107.7 kila siku ya Jumanne, saa 3:00 – saa 4:00 usiku. Ukiwa na maswali 
       juu ya somo hili au shuhuda jinsi somo hili lilivyokusaidia, unaweza kuwasiliana na mwali 
       kwa njia zifuatazo; 
                               Mwl. Mgisa Mtebe, 
                               P. O. Box 837, Dar es Salaam. 
                               Simu: (+255) 0713497654. 
                               Barua pepe (Email): mgisamtebe@yahoo.com: 
                                                    4 

 
Tovuti (Website): www.mgisamtebe.org 
     
         




                             5 

 

Más contenido relacionado

La actualidad más candente

Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
001111111111
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
001111111111
 
Uma juventude forte
Uma juventude forteUma juventude forte
Uma juventude forte
Eid Marques
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
001111111111
 
strength sermon slides
strength sermon slidesstrength sermon slides
strength sermon slides
David Sr.
 

La actualidad más candente (20)

Face a face com Deus
Face a face com DeusFace a face com Deus
Face a face com Deus
 
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
 
AKULAH GEMBALA YANG BAIK.pptx
AKULAH GEMBALA YANG BAIK.pptxAKULAH GEMBALA YANG BAIK.pptx
AKULAH GEMBALA YANG BAIK.pptx
 
Joao 3 16
Joao 3 16Joao 3 16
Joao 3 16
 
Walking in abundance
Walking in abundanceWalking in abundance
Walking in abundance
 
Church, why do we need to go to church, and what is the purpose of the church...
Church, why do we need to go to church, and what is the purpose of the church...Church, why do we need to go to church, and what is the purpose of the church...
Church, why do we need to go to church, and what is the purpose of the church...
 
Maturidade Espiritual
Maturidade EspiritualMaturidade Espiritual
Maturidade Espiritual
 
Rock bottom (jacobs dream) gen 28 10 22
Rock bottom (jacobs dream) gen 28 10 22Rock bottom (jacobs dream) gen 28 10 22
Rock bottom (jacobs dream) gen 28 10 22
 
[EBD Maranata] Lição 11 - Os propósitos de Deus se cumprirão em nós | Revista...
[EBD Maranata] Lição 11 - Os propósitos de Deus se cumprirão em nós | Revista...[EBD Maranata] Lição 11 - Os propósitos de Deus se cumprirão em nós | Revista...
[EBD Maranata] Lição 11 - Os propósitos de Deus se cumprirão em nós | Revista...
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
 
MAYORDOMIA CRISTIANA
MAYORDOMIA CRISTIANAMAYORDOMIA CRISTIANA
MAYORDOMIA CRISTIANA
 
Uma juventude forte
Uma juventude forteUma juventude forte
Uma juventude forte
 
Rise and shine - Ephesians 5:8-14
Rise and shine - Ephesians 5:8-14Rise and shine - Ephesians 5:8-14
Rise and shine - Ephesians 5:8-14
 
Cartilla cuentales a los tuyos familia
Cartilla cuentales a los tuyos familiaCartilla cuentales a los tuyos familia
Cartilla cuentales a los tuyos familia
 
Abriendo y-cerrando-puertas
Abriendo y-cerrando-puertasAbriendo y-cerrando-puertas
Abriendo y-cerrando-puertas
 
GÊNESIS 3
GÊNESIS 3GÊNESIS 3
GÊNESIS 3
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
 
AS BENÇÃOS DO TEMOR DO SENHOR
AS BENÇÃOS DO TEMOR DO SENHORAS BENÇÃOS DO TEMOR DO SENHOR
AS BENÇÃOS DO TEMOR DO SENHOR
 
Prinsip histori persepuluhan
Prinsip histori persepuluhanPrinsip histori persepuluhan
Prinsip histori persepuluhan
 
strength sermon slides
strength sermon slidesstrength sermon slides
strength sermon slides
 

Más de 001111111111

Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
001111111111
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi
001111111111
 
Injili ni nguvu ya mungu
Injili ni nguvu ya munguInjili ni nguvu ya mungu
Injili ni nguvu ya mungu
001111111111
 
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
001111111111
 

Más de 001111111111 (6)

Vita vya kiroho
Vita vya kirohoVita vya kiroho
Vita vya kiroho
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi
 
Nguvu ya maombi
Nguvu ya maombiNguvu ya maombi
Nguvu ya maombi
 
Injili ni nguvu ya mungu
Injili ni nguvu ya munguInjili ni nguvu ya mungu
Injili ni nguvu ya mungu
 
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
 

Mkristo na uchumi part 1

  • 1.  MKIRSTO  NA  UCHUMI.    Utangulizi Mkristo ni nani?  Mkristo  ni  mtu  aliyemwamini  Yesu  Kristo  na  kumpokea  au  kumfanya  Bwana  na  Mwokozi  wa  maisha  yake  (Warumi  10:9‐10).  Haitoshi  tu  kusema,  ‘Mkristo  ni  mtu  aliyemwamini  Yesu’,  kwasababu  Biblia  inasema  ‘hata  shetani  naye  anaamini  na  kutetemeka  pia’  lakini  si  mkristo  (Yakobo 2:19)  Uchumi ni nini?  Uchumi  ni  Maarifa  ya  namna  ya  kutumia  rasilimali  (resources)  zilizopo  au  chache  (scarce)  ili  kukutana na mahitaji na matakwa mengi (needs and wants) katika maisha ya mtu/watu.  Ni mapenzi ya Mungu tuyafurahie maisha yetu aliyotupa yeyé hapa duniani kama anavyosema katika kiyabu cha Isaya 1:19 ‘mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi.’ Na kila kitu unachohitaji kwa ajili ya maisha mazuri ya utoshelevu, kipo hapa hapa ulipo. Rasilimali zote tunazozihitaji kwa ajili ya Maisha mazuri ya Baraka, tunazo hapa hapa. Lakini wewe kama Mkristo, hautaweza kuyafurahia maisha aliyokuandikia Mungu, uyaishi hapa duniani, kama hutajua namna/jinsi/mbinu/kanuni za ki-Mungu za kufanikiwa kimaisha ili kukutana na mahitaji yako na matakwa yako ya kimaisha. Tujifunza siri na kanuni za kufanikiwa kiuchumi kwa maisha ya tajiri mmoja, aliyeandikwa katika Biblia, na jinsi alivyofanikiwa sana kimaisha na kiuchumi, japo alianza maisha kwa shida na taabu. Mtu huyu tajiri anaitwa Yakobo. Habari hii utaipata katika kitabu cha Mwanzo 28:1-5; 29: 13-30; 30:25-43; 31:1-3; 32:1-18 Kwa ufupi ni kwamba: Yakobo alipomkimbia ndugu yake Esau, alifika kwa mjomba Labani akiwa na fimbo tu, lakini baada  ya  kukaa  huko  kwa  muda,  alirudi  katika  nchi  ya  Baba  zake  akiwa  tajiri  mkubwa  mwenye  wafanyakazi 1,200 (Matuo mawili = Makundi mawili ya watu 600)  Soma Mwanzo 32:9‐12. Fikiri  mwenyewe,    mtu  mwenye  wafanyakazi  1,200  alikuwa  ana  wanyama  wangapi?  Thamanisha  mali  zake kwa fedha ya sasa.   1   
  • 2. Utakapokwenda kuisoma habari hii, utaona jinsi Yakobo alivyokuwa tajiri, kwa maana alikuwa na  uwezo  wa  kutoa  zawadi  kwa  mtu,  kiasi  cha  punda  200,  farasi  200,  ngamia  200,  ng’ombe  200,  kondoo  200  na  mbuzi  200.  Utajiri  huu  kwa  lugha  ya  sasa;  Punda  200  (kiuchumi,  hii  inakadiriwa  kuwa ni sawa na magari madogo ya mizigo (pickup) 16; yaani punda 12 wanaweza kubeba mzigo  wa pickup 1). Kondoo 200 ni sawa na maduka 4 ya nguo, ngamia 200 ni sawa na malori madogo ya  mizigo 16, farasi 200 ni sawa na pikipiki 50.  Unaweza kuona jinsi Yakobo wa Isaka alivyokuwa tajiri. Mtu anayeweza kukupa zawadi ya pikipiki  50,  maduka  4  ya  nguo,  malori  madogo  16  na  magari  madogo  ya  mizigo  (pickup)  16;  yeyé  anabakiwa  na  kiasi  gani  cha  utajiri?  Na  kama  alianza  akiwa  mikono  mitupu,  alitumia  njia  gani  kufikia  katika  mafanikio  hayo  ya  kiuchumi?  Hata  mimi  nataka  kujua.  Utashangaa  kwamba,  Biblia  inafundisha uchumi kiasi hiki.  KANUNI ZA KIBIBLIA ZA UCHUMI MZURI  1. Maono ‐ Kuona Fursa za kiuchumi  Mafanikio  hayaji  kwa  bahati  mbaya  au  nzuri,  bali  yanapangwa.  Ukiona  mtu  amefanikiwa  kiuchumi,  ujue  aliona  kwanza  fursa  hiyo  na  akaichuchumilia  na  kuifuatilia  mpaka  akafanikiwa.  Hivyo  muombe  Mungu  akupe  kuziona  fursa  zilizopo.  Tafuta  kuona  mahitaji  mbalimbali ya jamii, huwezi kukosa kuona fursa kadhaa za kiuchumi.     Utakapokwenda  kusoma  habari  hizi,  utagundua  kwamba,  mjomba  Labani  alikuwa  tajiri  mwenye shughuli mbalimbali na wafanyakazi wengi sana. Kwa muda mfupi ambao Yakobo  alikaa kwa mjomba wake, aligundua kwamba, ataweza kufanikiwa kwa kujishughulisha na  kazi  mojawapo  za  mjomba,  hivyo  akachagua  kujikita  katika  mifugo  ya  mjomba  Labani.  Mwanzo 29: 15‐20.     Mafanikio hayaji kwa bahati  mbaya au  nzuri, bali yanapangwa. Lazima uwe na uwezo wa  kuona  fursa  za  kiuchumi  na  kujitosa  humo  baada  ya  kufanya  upembuzi  yakinifu.  Ukiona  mtu amefanikiwa kiuchumi, ujue aliona kwanza fursa hiyo na akaichuchumilia na kuifuatilia  mpaka  akafanikiwa.  Soma  Mwanzo  21:14‐19  na  Waefeso  1:15‐19  utaona  umuhimu  wa  kuwa  na  macho  yanayoweza  kuona  vitu  vilivyojificha.  Hivyo  muombe  Mungu  akupe  kuziona  fursa  zilizopo.  Tafuta  kuona  mahitaji  mbalimbali  ya  jamii,  huwezi  kukosa  kuona  fursa kadhaa za kiuchumi.   2   
  • 3. 2. Malengo mahususi – Kujua kwa hakika unataka kufika wapi  Alijua alichokuwa anataka na alikaza uso kutoyumbishwa mapaka apate anachotaka. Hii ni  tabia ya kila mjasiliamali aliyefanikiwa. Lazima uwe ‘focused’ usiyumbishwe. Utaiona tabia  hii ya Yakobo kwa jinsi alivyojaribiwa katika swala la kupata mke aliyemtaka. Alijua anataka  mke, na sio bora mke.    Mjomba Labani alikuwa na mabinti wawili, Lea na Raheli. Aliambiwa kama anataka kumuoa  Raheli, atoe mahari ya kufanya kazi kwa miaka 7. Baada ya maiaka 7 akapewa Lea badala  ya Raheli. Kwa lugha rahisi, alitapeliwa au alizulumiwa. Akaambiwa, kama vado anamtaka  Raheli, afanye kazi tena kwa miaka 7 ndipo atapewa Raheli.     Kama  Yakobo  angekuwa  anataka  bora  mke,  angeridhika  na  Lea,  lakini  kwakuwa  alikuwa  anamtaka  Rachel,  akalenga  ‘kutokupumzika’  mpaka  ampate  Raheli,  bila  kuyumbishwa.  Akaapinda  mgongo  tena  kwa  miaka  7  ili  tu  kuyafikia  malengo  yake,  na  akampata  mke  aliyemtaaka, Raheli !!!    Mwa 29:16‐18.    Ni muhimu sana kwa mtu kuwa na makusudio ya moyo (Malengo).  • Malengo hufungulia nguvu za Mungu (Msaada wa Mungu)   ‘Nawe  utakusudia  neno,  nalo  litathibitika  kwako;  na  mwanga  utaziangazia  njia  zako’ (Ayubu 22:28)  • Malengo hukupa nidhamu ya kimaisha (Descipline)   ‘Pasipo  maono,  watu  huacha  kujizuia  (yaani  hukosa  nidhamu,  au  msimamo  ‐  huyumba‐yumba)   (Mith 29:18).    Yeremia  1:5‐10;  Mungu  alimtenga  Yeremia  kuwa  Nabii  tangu  tumboni  mwa  mamaye,  Je  wewe ulitengwa uwe nani? Tafuta kujua mpango wa Mungu kwako. Usipopatia wito wako,  kuna  hatari  ya  kutofanikiwa  katika  baadhi  ya  vitu  unavyohangaika  kuvifaya.  Mungu  anabariki  kazi  zake,  si  kila  kazi.  Ni  muhimu  uutafuta  uso  wa  Mungu  ili  ujue  mpango  wa  Mungu juu ya maisha yako.  Yeremia 29:11‐13,  Zaburi 32:8        3   
  • 4. 3. Mipango Mizuri – Kuwa na njia za kukufikisha katika malengo yako  Mwanzo  30:25‐36;  Ili  kufikia  mafanikio  na  maisha  mazuri,  mtu  wa  Mungu  si  tu  kwamba  anahitaji  kuwa  na  maono  na  malengo  tu,  bali  pia  anahitaji  kuwa  na  mipango  mizuri  ya  kumfikisha  katika  maono  na  malengo  yake.  Jiulize,  ni  kwa  njia  gani  nitaweza  kufikia  kule  ninakotamani kufika? Hizo njia utakazopata, ndio tunaita mipango.     Katika  habari  hii  ya  Yakobo,  unaona  anapanga  kuwachukua  wanyama  wa  mjomba  na  kwenda nao umbali wa siku tatu (3) na kukita kambi ya mifugo huko. Na utaona anapanga  kukaa huko kwa miaka mitatu (3). Hizi namba unazoziona hapa, ni mipango madhubuti. N  mawazo  ya  mtu  aliyefanya  uchunguzi  wa  eneo  zuri  la  kuweka  kambi  ya  mifugo  na  ni  mawazo  ya  mtu  aliyepiga  mahesabu  kuona,  ni  baada  ya  muda  gani  atakuwa  ameweza  kutengeneza faida.    Mipango  mizuri  itazaa  matokeo  mazuri.  Mipango  mibaya  itazaa  matokeo  mabaya.  Kwahiyo,  tafuta  namna  ya  kutengeneza  mipango  mizuri,  ikibidi  tumia  wataalam  wa  mipango.  Fanya  Fisibility  study    na  tengeneza  a  good  Business  Plan.  Yakobo  alijitenga  mwendo wa siku 3 na akakaa nyikani muda wa miaka mitatu. Huu ni Mpango wa Shughuli  (This  is  a    business  plan  au  activity  plan).  Baada  ya  miaka  kadhaa,  Yakobo  alikuwa  mtu  mwenye  mafanikio  na  utajiri  mkubwa,  leo  tungemuita  ‘Milionea’  mkubwa.  Kumbuka;  Mipango mizuri itazaa matokeo mazuri. Mipango mibaya itazaa matokeo mabaya.    Itaendelea toleo líjalo    Mafundisho mengine ya mwalimu, yanapatikana katika duka la vitabu la Kanisa Kuu, Azania  Front.  Pia  vipindi  vya  mafundisho  ya  mwalimu  Mgisa,  vinarushwa  katka  Radio  ya  Kanisa,  Upendo FM Radio, 107.7 kila siku ya Jumanne, saa 3:00 – saa 4:00 usiku. Ukiwa na maswali  juu ya somo hili au shuhuda jinsi somo hili lilivyokusaidia, unaweza kuwasiliana na mwali  kwa njia zifuatazo;  Mwl. Mgisa Mtebe,  P. O. Box 837, Dar es Salaam.  Simu: (+255) 0713497654.  Barua pepe (Email): mgisamtebe@yahoo.com:  4